Hakuna mwanaume atakayedumu na Mwanamke!

Hakuna mwanaume atakayedumu na Mwanamke!

Muuza simu used

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2017
Posts
4,393
Reaction score
7,101
Hii wanawake huwa wanashindwa kuelewa ni kwanini sisi wanaume tunaingia mitini Mara kadhaa baada yakufanya sex na mwanamke!ukweli ni kwamba kama mwanamke ataonyesha waziwazi dalili za mizinga iliyopitiliza kila time kuomba omba Mara baby ninunulie hiki Mara kile! Mwanzoni tunaweza kuvumilia kimtindo ila Mara baada yakuona ndani tunaingia mitini kwasababu huwezi kila siku unaombwa pesa na ukadumu na huyo mwanamke!
NB,Tunajua ni jukumu la mwanaume kumuhudumia mwanamke kwahiyo tuachieni kazi yetu tufanye jinsi tutavyoona inafaa msituingilie kutukumbusha kila mara
 
Mizinga ni noma aisee! Mwanamke unaonana nae siku ya kwanza mfano jmosi, jpili asubuhi na mapema kibomu. Hii hali inakera na inakatisha tamaa Kabisa
 
Back
Top Bottom