johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,150
Kama nimeelewa vizuri ni kwamba kuna Watoto wa Rais.
Lakini hakunaga suala la watoto wa Rais mstaafu.
Rais akistaafu unabaki kuwa " mtoto wa fulani".
Duh.....hii imekaa kizalendo zaidi!
Lakini hakunaga suala la watoto wa Rais mstaafu.
Rais akistaafu unabaki kuwa " mtoto wa fulani".
Duh.....hii imekaa kizalendo zaidi!