Hakuna mgogoro wowote CHADEMA-Wenje


Naomba msaada. Mawazo ana wadhifa gani katika chama, huyu jamaa nichali angu kwasana tumecheza nae bol mchangani tukiwa makid enzi hizo nikiwa Arachuga. I know him, hatanii anapokuwa kazini ni mpiganaji wa ukweli, ila sikumbuki level yake ya elimu lakini haijalishi.
 

Ni kamanda mkuu wa M4C Kanda ya ziwa.
 
mkuu molemo umewamudu masalia..

Mkuu wangu Masalia ni kundi haramu la uasi dhidi ya Chadema kama kundi la M23 lilivyo kundi la uasi dhidi ya Congo DRC
 
Wewe unashikiwa akili na viongozi wako. Makundi yapo na viongozi wao ni freeman na zito pili kati ya wewe uliyeandika hapo juu na zito nani ananjaa. Acha kushikiwa mawazo tumia akili aliyokupa Mungu
 
Ni kweli hizi habari za migogoro CDM ni ya kuzusha na ccm wanaitumia kuivuruga ccm. CDM wanatakiwa kusimama na kukanusha uzushi wote unaoelekezwa kwao, maana wakikaa kimya watu wataamini kama ni kweli kuna mgogoro.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…