BIG THINKER
JF-Expert Member
- May 20, 2018
- 699
- 1,516
Wahenga siyo wajinga na makosa yao ni machache ukilinganisha na usahihi wao,,,,, Wahenga walisema "Hakuna jipya chini ya Jua" na hivyo ndiyo walivyo Watanzania na ndivyo itakavyokuwa siku zote.
Kama ilivyokuwa kwa COV19 hivyo ndivyo itakuwa kwa hii Serikali, mtapiga kelele kuja kushituka 2030.
Imeisha hiyo......
Kama ilivyokuwa kwa COV19 hivyo ndivyo itakuwa kwa hii Serikali, mtapiga kelele kuja kushituka 2030.
Imeisha hiyo......