Hakuna Duniani kama Tanzania!!

Hakuna Duniani kama Tanzania!!

GreatApe

Member
Joined
Sep 20, 2013
Posts
48
Reaction score
6
Zipo nchi kama Tanzania lakini hakuna duniani nchi yenye siasa kama siasa ya Tanzania; dunia ina nchi 196 lakini siasa za Tanzania hakuna nchi yenye mambo kama haya yanayotokea nchini kwetu kwamba rais amekuwa ndio tafsiri ya "conflict" kwa thamani ya CCM kwenye mchakato wa katiba mpya kwamba 'he is neither bad nor good' and again 'he is neither constructive nor destructive' because he is a conflict then his action is inevitable!!!!!!!! katika hili mkuu ameingia sehemu itampa shida sana endapo wapinzani wakiishtukia strength yao katika hili.

Naomba wanaJF tufsukute zaidi katika hili......................................................hongera sana ...............
 
Zipo nchi kama Tanzania lakini hakuna duniani nchi yenye siasa kama siasa ya Tanzania; dunia ina nchi 196 lakini siasa za Tanzania hakuna nchi yenye mambo kama haya yanayotokea nchini kwetu kwamba rais amekuwa ndio tafsiri ya "conflict" kwa thamani ya CCM kwenye mchakato wa katiba mpya kwamba 'he is neither bad nor good' and again 'he is neither constructive nor destructive' because he is a conflict then his action is inevitable!!!!!!!! katika hili mkuu ameingia sehemu itampa shida sana endapo wapinzani wakiishtukia strength yao katika hili.

Naomba wanaJF tufsukute zaidi katika hili......................................................hongera sana ...............

Naomba niseme hivi: Kama katiba ni Rais, ya nini kutunga katiba nyingine. Mabilioni haya ya kuchezea yangetosha madawati na zahanati ngapi?
 
But this ain't no puzzle J, so u'r free to add any constructive idea no matter what it means ..................here is just to make our lovely Tz stand as it was in 1970s-1980s, therefore u're welcome J.
 
Nilikuwa naongea na rafiki yangu Mwingereza, akaniambia, "Tuwahamishe mkakae Uingereza na siasa yenu ya namna hii na uongozi wenu huu, na sisi tuje kukaa katika nchi hii yenye rasilimali hizi na siasa yetu kwa muda wa miaka 20 tu! Kwa miaka hiyo, maendeleo ya nchi yenu yatazudi Uingereza mara 10!" Nilifikiri sana. Kwa miaka hiyo huenda miundombinu ile, mazingira yale mifumo ile ya kijamii tungeharibu yote! Na huenda viongozi wetu wangeenda China kutafuta wawekezaji kuja Uingereza! Wasingereza wao wangetafuta namna ya kuingia ubia kwa miradi ya vitu kama gesi na dhahabu badala ya kupata mrahaba, Mabinde mazuri yenye mito ya kilimo yamgeendelezwa, bahari yetu ingekuwa ni mtaji elimu ingepewa msukumo mpya, wangeweka dira ya mapinduzi ya kilimo kwa muda mfupi ujao. ..na ...! Kweli hakuna nchi yenye siasa kama Tanzania!
 
Back
Top Bottom