Hakuna chama cha kuiondoa CCM madarakani

Hakuna chama cha kuiondoa CCM madarakani

wabungenjaa ndugu unaishi kwenye ndoto, Tanganyika ya wapi!!
Watu wameisha wachoka MaCCM, wanasubiri wawape dozi, come 2015 Oct!!
Uchaguzi wa serikali za mitaa za mitaa umeonyesha kuwa watz bado wana imani kubwa na chama chao pendwa ccm. Hata hivyo hakuna chama cha upinzani kilicho imara..vyote ni legelege na ni saccos like
 
Last edited by a moderator:
Acha uongo wewe!!! Uchaguzi wenyewe haukuwa huru na wa haki na pamoja na hayo bado mkafanya vibaya na hata kuwaapisha wale walioshindwa toka chama chenu cha wahuni. Nimekuuliza swali kwamba kama Tanzania hakuna upinzani kwa nini hamtaki kuwe na uchaguzi wa haki na huru? Kipi kinachowaogopesha mpaka mtumie kitengo chenu Tume ya Uchaguzi ya Mainterahamwe na vyombo vya dola ili kuiba chaguzi za majimbo kwenye Ubunge na hata Urais nchi nzima?

Uchaguzi wa serikali za mitaa za mitaa umeonyesha kuwa watz bado wana imani kubwa na chama chao pendwa ccm. Hata hivyo hakuna chama cha upinzani kilicho imara..vyote ni legelege na ni saccos like
 
Acha uongo wewe!!! Uchaguzi wenyewe haukuwa huru na wa haki na pamoja na hayo bado mkafanya vibaya na hata kuwaapisha wale walioshindwa toka chama chenu cha wahuni. Nimekuuliza swali kwamba kama Tanzania hakuna upinzani kwa nini hamtaki kuwe na uchaguzi wa haki na huru? Kipi kinachowaogopesha mpaka mtumie kitengo chenu Tume ya Uchaguzi ya Mainterahamwe na vyombo vya dola ili kuiba chaguzi za majimbo kwenye Ubunge na hata Urais nchi nzima?

Uchaguzi ulikuwa huru na haki ndio mana hamkulalamika wala kukata rufaa. Na hata hivo unasema kuhusu maeneo machache ambayo nyie wauwaji mmeshinda? Huko nako hapakuwa na uhuru? Acha kujitekenya na kujichekesha.viroba vya ufipa vitakuharibu zaidi ubongo
 
Vilivyopo havijaiva na havijakomaa. Bado vichanga. Vinafanya siasa maji taka. Ubabe na kusubiri matukio. Huu ni mwaka muhimu wa uchaguzi wa kubadilisha dola kwa maana kwamba serikali iliyopo imefika muda wake kidemokrasia...hata hivyo wananchi bado wana imani kubwa na chama kilichounda dola iliyopo na wanaahidi kukipa ushindi mnono hapo octoba 2015.

Navishauri vyama vilovyopo vijipange vizuri ili 2025 angalau vipate wabunge wa kutosha ili 2050 vishike dola (God forbid).
Mlisha pigwa tangu 1995 kule zanzibar, 2010 bara mnachofanya ni kuiba tu kura, kiama chenu kinakuja
 
Vilivyopo havijaiva na havijakomaa. Bado vichanga. Vinafanya siasa maji taka. Ubabe na kusubiri matukio. Huu ni mwaka muhimu wa uchaguzi wa kubadilisha dola kwa maana kwamba serikali iliyopo imefika muda wake kidemokrasia...hata hivyo wananchi bado wana imani kubwa na chama kilichounda dola iliyopo na wanaahidi kukipa ushindi mnono hapo octoba 2015.

Navishauri vyama vilovyopo vijipange vizuri ili 2025 angalau vipate wabunge wa kutosha ili 2050 vishike dola (God forbid).

Huna hoja ndugu! Hoja yako ni mfu kabisa. Kwa sasa ni muda muafaka kabisa upinzani kutawala, ccm imechafuka na washirika wake wote. Kaeni pembeni ukawa wachape kazi.
 
nafikiri si sahihi kusemea wengine , ingependeza kusema mimi na mke wangu tunafaidika na pesa za wizi , za kishetani na za kifisadi na tutachagua magamba katika uchaguzi mkuu , si kusema kwa ujumla kuwa hakuna chama cha kuiondoa madarakani ccm, hii ni feature mojawapo ya watu wasiotumika logic kufikiri!

Nakushukuru sana ndugu, umemnyamazisha kabisa kimyaa!!
 
Uchaguzi wa serikali za mitaa za mitaa umeonyesha kuwa watz bado wana imani kubwa na chama chao pendwa ccm. Hata hivyo hakuna chama cha upinzani kilicho imara..vyote ni legelege na ni saccos like

Naona mgao wa Escrow unakulewesha. ccm ilikuwa enzi za Nyerere
 
Pole kwa kuwa na mtindio wa ubongo,huku ni kupuliza perfume kwapani wakati mwili wote umetapakaa ki.nye.si. Hakuna chama kitakachodumu milele,na ccm hamna hatimiliki ya nchi hii,who are you?
 
Hujitambui wewe unatokwa na povu zito. Kama mngekuwa mnajiamini kiasi hicho msingechakachua maoni ya Watanzania kuhusu katiba mpya na kuandika katiba ya chama chenu cha wahuni, wezi, mafisadi, wauza unga, majangili na magaidi.

Uchaguzi ulikuwa huru na haki ndio mana hamkulalamika wala kukata rufaa. Na hata hivo unasema kuhusu maeneo machache ambayo nyie wauwaji mmeshinda? Huko nako hapakuwa na uhuru? Acha kujitekenya na kujichekesha.viroba vya ufipa vitakuharibu zaidi ubongo
 
hili swala sio la kulipuuza hata mara moja ila inabidi lichuliwe kama changamoto na kama mnavyo jua siku zote uchaguzi ni technical so inabidi kuziangalia technical ambazo unazitumia wewe na mwenzako zinaendana sometime unaweza ukatumia muda mwingi kalalamika harafu ujui mwenzako anafanya nini siku siku unakuja kustuka unakuta mambo yameisha alibika na muda umekwisha kama unavyo jua ccm wenyewe technical yao kubwa ni wizi na wao hiyo ni mira na desturi je chadema wamejipanga vipi je wanajiamini na wanaaminana kwasababu ccm wenyewe ndio wameshika dollar na kila kitu hili swala chadema inabidi wajipange ×2 na wasichukulie ni rahisi rahisi tu.
 
Vilivyopo havijaiva na havijakomaa. Bado vichanga. Vinafanya siasa maji taka. Ubabe na kusubiri matukio. Huu ni mwaka muhimu wa uchaguzi wa kubadilisha dola kwa maana kwamba serikali iliyopo imefika muda wake kidemokrasia...hata hivyo wananchi bado wana imani kubwa na chama kilichounda dola iliyopo na wanaahidi kukipa ushindi mnono hapo octoba 2015.

Navishauri vyama vilovyopo vijipange vizuri ili 2025 angalau vipate wabunge wa kutosha ili 2050 vishike dola (God forbid).
....ila wananchi wa kuiondoa ccm madarakani tupo hata leo ndo maana mnapagawa hata kupata mtu Wa kusimama against ukawa....
 
Duniani kote wapi uliona chama kikishinda ?? Wanaoshinda ni Watu_/wapigakura ,(Watanzania)

Kura zikiamua kukukataa haijalialishi,, una mini??

Lakini MANENO ya mleta mada yanathibitisha wapinzani wake wamekaribia kwenye NGOME yao ,,,!!

Nawashauri waanze kufungasha kila kilicho chao. Waondoke kwa Amani !!!!!!!!!!!!!!!

Adili Tanzania: Nguvu yetu
 
na wewe kula hii
dole.jpg
Kula tano
 
Back
Top Bottom