Hakubaliki na anajua hivyo ndio maana amejaa hasira na visasi

tajirijasiri

JF-Expert Member
Oct 13, 2012
2,864
3,851
Ukimtizama nguvu anazotumia kubaki madarakani, hasira anazoonesha akipata jukwaa, majuto anayoyaeleza akihutubia, basi utagundua kuwa, anajua hakubaliki ndani na nje, anatumia matukio na wajibu wake kujisifia na kujieleza kana kwamba hatujui nn anapaswa kufanya.

Kushabikia uvunjifu wa sheria na utawala wa maagizo, inaonesha ana kinyongo na wakosoaji.

Lakini hii haitamuondolea kutokukubalika, kwa sababu kuna tofauti kati ya mabavu na busara, ubabe na ustaarabu, ujinga na kuelimika.

Haihitaji maelezo kuonekana kiongozi bora, bali matendo yako yanatudhihirishia tulipokosea.

Mamlaka na madaraka vinapita. Tenda mema.
 
Ukimtizama nguvu anazotumia kubaki madarakani, hasira anazoonesha akipata jukwaa, majuto anayoyaeleza akihutubia, basi utagundua kuwa, anajua hakubaliki ndani na nje, anatumia matukio na wajibu wake kujisifia na kujieleza kana kwamba hatujui nn anapaswa kufanya.

Kushabikia uvunjifu wa sheria na utawala wa maagizo, inaonesha ana kinyongo na wakosoaji.

Lakini hii haitamuondolea kutokukubalika, kwa sababu kuna tofauti kati ya mabavu na busara, ubabe na ustaarabu, ujinga na kuelimika.

Haihitaji maelezo kuonekana kiongozi bora, bali matendo yako yanatudhihirishia tulipokosea.

Mamlaka na madaraka vinapita. Tenda mema.
Najua kwa " wapiga polishi na wachoma mishikaki" hakubaliki kwa sababu kawa zibia kuiba , na akiwa shika kwa kweli atakuwa amevunja sheria
 
Kwenda zako huko kibaraka wa mabeberu! Anapendwa kuliko mnavyodhani subiri sanduku LA kura
HAPANA kabisa.
Hakubaliki abadani nakuhakikishia.Hata wewe ukweli unaujua.Hakuna tume huru Tanzania. Yani mambo yakawa wazi na huru hapo HAPITI,HAPITI,HAPITI nakwambia.Kaumiza sana watanzania.Tena wameamua wakae kimya wanaangalia anachokifanya.

Hawezi pita
 
Ukimtizama nguvu anazotumia kubaki madarakani, hasira anazoonesha akipata jukwaa, majuto anayoyaeleza akihutubia, basi utagundua kuwa, anajua hakubaliki ndani na nje, anatumia matukio na wajibu wake kujisifia na kujieleza kana kwamba hatujui nn anapaswa kufanya.

Kushabikia uvunjifu wa sheria na utawala wa maagizo, inaonesha ana kinyongo na wakosoaji.

Lakini hii haitamuondolea kutokukubalika, kwa sababu kuna tofauti kati ya mabavu na busara, ubabe na ustaarabu, ujinga na kuelimika.

Haihitaji maelezo kuonekana kiongozi bora, bali matendo yako yanatudhihirishia tulipokosea.

Mamlaka na madaraka vinapita. Tenda mema.
Mitume na manabii wa kale walitenda mema kwa kiwango kikubwa lakini hawakukubalika kwa watu wote. Ajabu ni kwamba hata watu wa kwao waliwakataa (manabii)!
 
HAPANA kabisa.
Hakubaliki abadani nakuhakikishia.Hata wewe ukweli unaujua.Hakuna tume huru Tanzania. Yani mambo yakawa wazi na huru hapo HAPITI,HAPITI,HAPITI nakwambia.Kaumiza sana watanzania.Tena wameamua wakae kimya wanaangalia anachokifanya.

Hawezi pita
Ni kweli hakika ni kweli, Tume huru haijawahi kuacha mtu huru.
 
Back
Top Bottom