pwilo
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 10,181
- 12,606
Mkuu Tanzania hakuna mashabiki kuna bendera fuata upepo ngoja waende kwa mazembe wakafungwe utaona subiria si tuko hapa hapa utaona watakavyo kuja kumkataa.Watanzania mna tabia za kijinga za kuwapenda watu kwenye nyakati nzuri.Mkifungwa kidogo mnaanza kumchukia na kutaka afukuzwe.NAUNGANA NA JAMAA ALIESEMA MNA ROHO MBAYA NA TUISHI NANYI KWA AKILI.
Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app