Hakika ni mashujaa

Negative

Member
Joined
Dec 26, 2010
Posts
17
Reaction score
0
Pamoja na yote ambayo chama tawala na jeshi la polisi wanasema kuhusiana na vifo vya ndugu zetu pale arusha, nafsi yangu inawatambua watu hawa kama mashujaa wa kweli katika ukombozi wa KWELI katika nchi hii, damu yao haijamwagika bure, siku moja italeta uhuru.. Mungu na aziweke pema roho zao
 

amina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…