Tusubiri tuone...mwezi ujao si mbali.Tuanzie hapa kwanza…
Madrid 6-2 Napoli
Madrid 6-3 B.munich
Madrid 4-2 Atletico
Madrid 4-0 Granada
Madrid 6-2 Derpotivo
Madrid 4-1 Valencia
Madrid 4-1 Celta Vigo(Hawa waliahidiwa bonus na Barcelona iwapo wangeshinda hii game ila CR kwa msaada wa Isco kapiga 2)
Madrid ?-? Juventus
Numbers never lie!!
Hutak kutoa rishit watu waoneKwanini mkuu?
Kapime akiili yako kwanza halafu urudi uje ucomment.Madrid sio wa kuwachukulia poa. Tena JUVE wakilegea wanaweza kuoga mabao.
Kuepusha Stress, Madrid mabingwa UEFA mwaka huu.
Madrid sio wa kuwachukulia poa. Tena JUVE wakilegea wanaweza kuoga mabao.
Kuepusha Stress, Madrid mabingwa UEFA mwaka huu.
Weka picha ya hiyo Nyumba nisije bet elfu 50 kumbe INA thaman said ya hiyo kibandaHabarini Wadau,
Kwa mshabiki nguli yeyote wa soka (Die hard fan) wa Juventus namkaribisha tu bet.
Mimi ninaweka nyumba yangu kubwa mezani na yeye aweke elfu 50 tu.
Hivi vibibi vya Turin ndio vimeishia kuipiga Lazio...ila kwa Madrid wanaenda kufunzwa adabu hao watoto.
Anybody to bet ?
Labda kama unatania Ila kiuhalisia Madrid anakufa June,3Habarini Wadau,
Kwa mshabiki nguli yeyote wa soka (Die hard fan) wa Juventus namkaribisha tu bet.
Mimi ninaweka nyumba yangu kubwa mezani na yeye aweke elfu 50 tu.
Hivi vibibi vya Turin ndio vimeishia kuipiga Lazio...ila kwa Madrid wanaenda kufunzwa adabu hao watoto.
Anybody to bet ?
Timu imefika fainali unaiita mbovu? Timu imemchakaza Barcelona unaiita Mbovu? Jiandae kupata maumivuMkuu hakuna kiungo hovyo kama ya Juve tokea aondoke Pogba.
Yaan ball position wataachwa mbali na bado watapigwa goli kuanzia 3.
Cr7 kama kawa....!