hajui lugha ya mapenzi

Prince Nadheem

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2012
Posts
1,265
Reaction score
1,092
habari za asubuhi wanajamvi! Hope wote mko pouwa,wapi Lara1 na Evelyn Salt?
Asubuhii hii baada ya kuclear viporo na baadhi ya kazi za ofisi kaja jamaa yangu mmoja hadi kwenye working station yangu ana stress kibao anataka ushauri.
Anasema yupo kwenye ndoa ni miezi 3 sasa ila kikubwa ni kuwa mkewe haelewi lugha ya mapenzi.
Kivipi basi? Jamaa anazidi kufunguka kuwa as far as anavyofahamu mapenzi ni kuwa kuna viashiria mtu huvionesha kama anahitaji sexual healing kama vile kumtomasa mwenzie kwa huba na kumkiss sensitive areas and the guy claims to have shown all of them kwa mkewe ila sasa mkewe ndio hana response. Kivipi? Anaweza kushow all the signs ila wife akawa mkavu hadi jamb atoe verbal request ndio apewe mzigo!(eti my dia naomba p***i! Kidogo nicheke wakati nasimuliwa)
anasema leo ni siku ya 13 tangu mara ya mwisho apewe mzigo. Hayo ni kwa kifupi tu.
Kabla ya kumshauri nimemwambia anipe muda ili nipambanue.
Nilichopanga kumuambia ni kuwa apange muda especially this weekend waende outing kama cku 2 either Bagamoyo au Zanzibar then wazungumze nini kifanyike na jamaa atoe ya moyoni. Naombeni more constructive ideas wanajamvi ili niweze kumshauri huyu jamaa
 
bagamoyo kuna genye eeeh?
yaani ukienda bagamoyo au zanzibar unakuwa willing kuduu au kuna nini sielewi?
kwa ninio usingemwambia wahame room kwao waende gesti jirani hapo?
 
Anaweza kumfundisha hizo lugha za mapenzi labda mkewe ni mgeni sana ktk mambo hayo,au aibu,unajua kwa si waafrika mwanamke kujiongeza kumpa mumewe mambo fulani bila kuombwa kisa tu kaona ishara ni jambo gumu sana,soo jamaa amwelewe tu wife na amuhakikikshie kuwa hotomhisi vibaya ikiwa atarespond kutokana na ishara za kimalavidavi.
 
Inawezekana mke anapenda kuambiwa kwa maneno,amwambie tuu au yeye ndo anaona aibu kusema anaomba? Kuombwa pia kuna raha yake
 
ishiii makubwa!mara ya kwanza alivyopewa alifanya nini mpaka akapewa?inawezekana amebadilisha yeye mwenyewe kanuni za mchezo ndio maana anaambulia RED CARD kila anapoomba mchezo uwanja wa nyumbani.
 
Labda my wife wake hajui hizo lugha za mapenzi jamani,anapaswa amfundishe viashiria vya mapenzi,au bi dada ana aibu ampe muda amzoee,miezi mitatu bado michache sana kwa yeye kuanza kelele kama mbuzi aliefunguliwatoka zizini khaaa!meeee,meeeeee,akae atulie mwenzi wake amzoeee!
 
.... jamb atoe verbal request ndio apewe mzigo!(eti my dia naomba p***i! Kidogo nicheke wakati nasimuliwa)
anasema leo ni siku ya 13 tangu mara ya mwisho apewe mzigo. ....
then mwambie atoe verbal request. mbona solution ipo halafu yeye anajivunga.
  • mume: honey naomba tunda la ndoa
  • mke: sawa mume wangu.
problem solved
 
Huyu kaka anaweza kuwa ndie hana swaga, kwani wanaume wengine swaga za kuazima kwa jirani. Pia muulize hivi alinunua nzima nzima kama soda au bia kabla ya kuoa hakujaribu au hata kusoma expire date. Kama ndivyo mwambie huyo mwanamke nae ana mshangao kukutana na mme kama yeye ila aendelee kulazimisha hadi atakapo pata feelings za mume na kujua utamu wa mapenzi then itakuwa historia. Hope nimechangia
 
Huyo mke alitaftiwa na wazazi au ye mwnyew??mbona kama wanaogopana hivi?atengeneze mazingira ya wao kuwa bestfriends ili awe free na ajiamini mana mapenzi yao yanaenda kinidham nidham hivi

Mazoea yanamatter sana kwny mapnz,btw kama anamuona mgeni kwenye mapenz bas asichoke kumfundisha kwa faida yake mwenyewe
 
Ninahisi hawakukaa muda kidogo katka mahusiano yao kabla ya ndoa, hivyo hawakupata muda wa kuzoeana, kutaniana na kufahamiana vizuri hata kwa kutazamana kumsoma mwenzio anataka nini!

Pia yawezekana wife ni mgeni kabisa katika mambo ya kujamiiana na pia hana exposure kutokana na malezi aliyokuwanayo, hivyo inabidi amfundishe kwa hekima sana kama anamtania kumbe ndo anampa msg. Kutoka nje ya home kwao itamsaidi kwani kimawazo watakuwa pamoja then ajaribu kuwa muwazi kwa mkewe anataka nini na pia ajaribu kutafuta movies mbali mbali zitakazompa vionjo mbalimbali katika ndoa! kikubwa ongea naye mbona kuna mengi tumefundishwa na kujifunza wakwe wenzi wetu!
 
Just simple....amfundishe lol

Mwambie avunje ukimya.. siwezi ku imagine kama jamaa ana mdomo mzito kiasi cha kushindwa kumwambia baby natamani hivi au vile.... (HADI AENDE BAGAMOYO AU ZANZIBAR kwi kwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii........ mbona sasa wataenda saaaanaaaaa)

Shaurile ..ngoja wazee wenzie wamsaidie lol.
 
bagamoyo kuna genye eeeh?
yaani ukienda bagamoyo au zanzibar unakuwa willing kuduu au kuna nini sielewi?
kwa ninio usingemwambia wahame room kwao waende gesti jirani hapo?

mkuu lengo la kufikiria kumshauri hv ni kubadili atmosphere ie kucreate romantic atmosphere in new environment btn the 2 of them rather than being in the areas that are common 2 them hoping kuwa hii itaweza kuamsha hisia nyingine.
 
mkuu lengo la kufikiria kumshauri hv ni kubadili atmosphere ie kucreate romantic atmosphere in new environment btn the 2 of them rather than being in the areas that are common 2 them hoping kuwa hii itaweza kuamsha hisia nyingine.
huyo mwanamke ana matatizo ya hormone au anamegwa nje
 

nilimuuliza the very question akanambia kuwa mwanzoni alikuwa anasoma hizo alama na kutoa full collabo ila anashangaa cku za hv karibuni na ndio hapo hata mie nilishindwa kumpa ushauri wa 1 kwa 1
 

Au mbinu za mdada za kutafuta mtoko...!!!
Na akimzoesha hivo..baada ya mwezi anaanza tena kumnyima...:mwaaah:.
 
nilimuuliza the very question akanambia kuwa mwanzoni alikuwa anasoma hizo alama na kutoa full collabo ila anashangaa cku za hv karibuni na ndio hapo hata mie nilishindwa kumpa ushauri wa 1 kwa 1

Achunguze maisha yake, naamini kuna maisha anayoishi huyu mkewe hajayapenda, mfano..ulevi, kuchelewa nyumbani, kutomsikiliza hasa mambo ya mapenzi, kukumbatia ndg hata kama wanamkwaza mkewe, kuishi na ndugu bila ridhaa ya mkewe, kutumia ubabe ktk maamuzi ya familia..n.k na mengine yanayokwaza. Kama hamna shida huku basi aende kwa wanatiba kutakuwa na shida imejiificha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…