gugumaji
Member
- Oct 25, 2012
- 25
- 19
Huyu ni msemaji wa Klabu kongwe Tanzania,iliyozaliwa kutoka Kwa Watani zao wa Jadi..kiukweli mimi sijui elimu yake nasema ninachokiona na kuishi
Nina mambo mawili au Matatu kumhusu Manara
*Wasomi wanaona wivu kwa kipaji chake
*Afisa Masoko aliyeshinda wasomi wengi
Kuinadi simba hapa wenye utaalam mtajazia
*Maarifa yake kama katoka Havard University sina unazi ni mtazamo tu unaruhusiwa kunipinga.
Nina mambo mawili au Matatu kumhusu Manara
*Wasomi wanaona wivu kwa kipaji chake
*Afisa Masoko aliyeshinda wasomi wengi
Kuinadi simba hapa wenye utaalam mtajazia
*Maarifa yake kama katoka Havard University sina unazi ni mtazamo tu unaruhusiwa kunipinga.




