Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 23,465
- 70,198
Manara: Umeonaje ila formula niliyokwambia, si unaiona imetiki, Instagram yote tunazungumziwa sisi tu.
Shafii: Daah! Ila kweli kabisa. Unajua ulivyoniambia tupige kiki kwa staili ile nilidhani watu wangeshtukia...ila daah! Wameingia wazima wazima kama mbuzi
Manara: Mimi si ndiyo mzee wa kuwachachafya. Unajua wewe haupo karibu na wanamuziki, ila Platnumz, Konde wote wanatumia njia hii, mnaichangamsha Instagram, watu wanawazungumzia kumbe nyuma ya pazia mko poa tu
Shafii: Aisee nimeamini sasa hivi. Kwa hiyo mpango unaokuja tunausuka vipi ili watu watujadili kama kawaida yetu?
Manara: Ngoja tukishacheza mechi yetu nitakwambia. Ila nitajifanya naifufua ishu ya Utopolo, halafu wewe utaingilia kama kuwatetea, mashabiki wa Uto watanijia juu, halafu wa Simba watanitetea.
Shafii: Sasa na mimi nikijiwa juu na mashabiki wa Mnyama?
Manara: Wa Utopolo watakutetea.
Shafii: Poa..ila unavyonipiga kwa suala la jezi, hizi ng'ombe zitafikiri kweli niliomba dili la kutengeneza jezi.
Manara: Sasa si ndiyo promo yenyewe, Mondi ilisemekana kanunua private jet, kwani kanunua kweli?
Shafii: Dah! Aya bhana. Ila ongea na Edo asiingilie sana hii ishu.
Manara: Yule dogo kashaona hapa kuna kiki kubwa ndiyo maana naye anaiingilia. Yaani kupitia hii, followers utawapata na madili yatakuja. Wewe vumilia madongo yangu tu
NB: Maneno ya kupachikwa kiutani.
Source: Copy & Paste.
Shafii: Daah! Ila kweli kabisa. Unajua ulivyoniambia tupige kiki kwa staili ile nilidhani watu wangeshtukia...ila daah! Wameingia wazima wazima kama mbuzi
Manara: Mimi si ndiyo mzee wa kuwachachafya. Unajua wewe haupo karibu na wanamuziki, ila Platnumz, Konde wote wanatumia njia hii, mnaichangamsha Instagram, watu wanawazungumzia kumbe nyuma ya pazia mko poa tu
Shafii: Aisee nimeamini sasa hivi. Kwa hiyo mpango unaokuja tunausuka vipi ili watu watujadili kama kawaida yetu?
Manara: Ngoja tukishacheza mechi yetu nitakwambia. Ila nitajifanya naifufua ishu ya Utopolo, halafu wewe utaingilia kama kuwatetea, mashabiki wa Uto watanijia juu, halafu wa Simba watanitetea.
Shafii: Sasa na mimi nikijiwa juu na mashabiki wa Mnyama?
Manara: Wa Utopolo watakutetea.
Shafii: Poa..ila unavyonipiga kwa suala la jezi, hizi ng'ombe zitafikiri kweli niliomba dili la kutengeneza jezi.
Manara: Sasa si ndiyo promo yenyewe, Mondi ilisemekana kanunua private jet, kwani kanunua kweli?
Shafii: Dah! Aya bhana. Ila ongea na Edo asiingilie sana hii ishu.
Manara: Yule dogo kashaona hapa kuna kiki kubwa ndiyo maana naye anaiingilia. Yaani kupitia hii, followers utawapata na madili yatakuja. Wewe vumilia madongo yangu tu
NB: Maneno ya kupachikwa kiutani.
Source: Copy & Paste.