Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,682
- 32,204
Sidhani kama huyubwana anaelewa maama ya ushabiki
Na kama angekuwa ana akili angeshtuka alichofanya Muro na adhabu aliyopita
Sikuamini matusi aliyotoa mbele ya press na TFF ikamkalia kimya
Labda nimkumbushe bwana haji manara ulipomtusi jamal malinzi hukumtusi yeye umetusi FIFA huyu ni mwakilishi wa nchi yetu kule FIFA
Nimeshangaa saana Wahaya kumkalia kimya Haji Manara alitakiwa ashikishwe adabu
Mwisho tunaomba apewe adhabu kali zaidi iwe fundishooo
Nadhani itakuwa fundisho tosha kwamba vilabu sioo sehemu ya kupatia umaarufu wakoo
Na kama angekuwa ana akili angeshtuka alichofanya Muro na adhabu aliyopita
Sikuamini matusi aliyotoa mbele ya press na TFF ikamkalia kimya
Labda nimkumbushe bwana haji manara ulipomtusi jamal malinzi hukumtusi yeye umetusi FIFA huyu ni mwakilishi wa nchi yetu kule FIFA
Nimeshangaa saana Wahaya kumkalia kimya Haji Manara alitakiwa ashikishwe adabu
Mwisho tunaomba apewe adhabu kali zaidi iwe fundishooo
Nadhani itakuwa fundisho tosha kwamba vilabu sioo sehemu ya kupatia umaarufu wakoo