Hajees bus lawaka moto

yangoma

Member
Sep 1, 2011
72
2
Wana jf jana nikiwa pande za TANGA maeneo ya muheza nikashuhudia hili tukio la busi la hajees likiwaka moto bila kufahamu chanzo cha moto huo. Kwa bahati hapakuwa majeruhi wala aliye poteza maisha hapo,Hivi mbona usalama wa maisha na mali zetu ni mdogo katika vyombo vyetu vya usafiri? Nawasilisha



hivi ndivyo ilivyo kuwa


jamaa wpo bize katafuta masalia



tukawa mashuhuda
 
hivi huwa yana kaguliwa kweli?? maana mabasi yaliyo mengi ni scraper
zinazo tembea. kama mabasi ya kilombero na ifakara ni mabovu sana.
 
hivi huwa yana kaguliwa kweli?? maana mabasi yaliyo mengi ni scraper
zinazo tembea. kama mabasi ya kilombero na ifakara ni mabovu sana.

Kwa kweli hapo umenena. Hivi Ifakara bado ni sehemu ya Tanzania?
 
tume imeshaundwa ...ni insurance company gani waliwainsure nk!?
 
Kwa kweli hapo umenena. Hivi Ifakara bado ni sehemu ya Tanzania?
Kwenye red.Ukisema Ifakara je Ulanga,Malinyi,Mahenge ,Tnaganyikamasagati,Bilo Utapaitaje?Nafikiri wewe ujafika Ifakara eeeh.Ifaka pale uone.Nenda Ifakara Health Instute,Tanzanian Training Centre for International Health ni ulaya ndogo uwezi kosa zaidi ya watu wa mataifa 50 kila siku pale.
 
Kwa kweli hapo umenena. Hivi Ifakara bado ni sehemu ya Tanzania?
Kujua kweli ni sehemu ya Tanzania angalia hizo picha chache utajua :

Picha chache za Ifakara
1.Nyumba ya mbu-Utafiti
2.Bweni la AMO
3.Nyumba ya wageni
 

Attachments

  • Ifakara222.jpg
    25.4 KB · Views: 78
  • Ifakara263.JPG
    13.5 KB · Views: 76
  • t1.JPG
    731 KB · Views: 85
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…