Wana jf jana nikiwa pande za TANGA maeneo ya muheza nikashuhudia hili tukio la busi la hajees likiwaka moto bila kufahamu chanzo cha moto huo. Kwa bahati hapakuwa majeruhi wala aliye poteza maisha hapo,Hivi mbona usalama wa maisha na mali zetu ni mdogo katika vyombo vyetu vya usafiri? Nawasilisha
Kwenye red.Ukisema Ifakara je Ulanga,Malinyi,Mahenge ,Tnaganyikamasagati,Bilo Utapaitaje?Nafikiri wewe ujafika Ifakara eeeh.Ifaka pale uone.Nenda Ifakara Health Instute,Tanzanian Training Centre for International Health ni ulaya ndogo uwezi kosa zaidi ya watu wa mataifa 50 kila siku pale.