Haiti joins African Union

Haiti joins African Union

Argentina wamewaua kwa sumu raia wote waliokuwa weusi, wachache waliobaki ni laana kujiita mwafrika, Google blacks of argentina au youtube uone na video
 
Nawe una mawazo kama ya wazungu kua na ngozi nyeusi ina maana ni MWaafika. Sasa naomba kufahamishwa watu wa mataifa yafuatayo ni waafrika? Micronesia,FIji,Jamuhuri ya DOminika,PAnama,EL Salvador,MAshaal,ST. LUCIA,SIR LANKA, BANGLADESH,VENEZUELA,COLUMBIA,GUYANA,FRANCE GUYANA,BAHAMAS,PUETO RICO, COSTA RICA,DOMINIKA,

Mwafrika ni yeyote alitoka/kaa katika bara la Afrika,hivyo kij iografia Misri,Algeria Mauritania, Angola, Cap Verde Jibuti,Comoro, Msumbiji zote ni Afrika, ila kirace MISRI TUNISIA, na wengine hao ni WAarabu.

Orodha kubwa ya nchi ulizopachik hapa haiondoi uhalali wa mkushi kuwa ni mtu wa bara la africa.

Back to history kabla hata ya kutawaliwa,hata south afrika tumeona jinsi wakushi walivyofurushwa na wazungu kule cape na kutapakaa kaskazini, swala dogo tu la kufanya,ukiona ngozi nyeupe africa jua haina uasili wa bara hili.wala haiitaji kukesha kutambua hili.
 
i went to school with people from Haiti, commonwealth dominica, jamaica na St. Kitts... they were like 7 na ni mmoja tu ndio alikua proud to be associated na uafrica

and were very shocked kuona hata picha za africa, miji na culture kewnye net

i think they are moer of ignorant kuliko hating africa

Halafu kichekesho ni pale ukienda hizo nchi ulizozitaja maskini ni wengi sana na njaa tupu
 
Rastafari ni dini ambayo inaabudu utu weusi. Jamaica ndiyo ngome kuu ya Urasta. Mtume wa Marastafari alizaliwa Ethiopia, aliishi Ethiopia na kufia huko, na wapo waethiopia ambao hutamani kwenda Ethiopia kuhiji. Ethiopia ipo Afrika, yaani bara la KuSh. Na Kush maanake nchi ya watu weusi. Wajamaica walio wengi wanapenda kujitambulisha wenye asili ya Kush.

Hapa JF huwa tunapita kujifunza mambo. Unapokuwa hujui kitu unanyamaza kusoma wengine wanaolijua hilo jambo vizuri wanasema nini kwani kwa kufanya hivyo utajifunza mengi. Sasa wewe ambacho umejaribu kufanya hapa ni kujaribu kufundisha kitu ambacho hukijui. Ndiyo maana nilikwambie dogo, wakati mwingine ni busara kukaa tu kimya...

Historia ya marasta naijua sana..kitu kimoja lazima ujue sio wajamaica wote ni marastafarian , ni wachache kwa population yao ila wengi kuliko nchi zingine zote zenye marasta..huyo kiongozi wa marasta alikua ni mfalme Haile Selasie- simba wa yuda..na ndie aliwapa ardhi marasta wanaoishi ethiopia....lakini hilo la wajamaica kuukataa u weusi lipo sana ni fact..
 
Ukiwakuta Florida hao wahaiti wanaringaaaaaaaaaaaaaaaaaaa nyodo nyingiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii lakini thanks to the earthquake that hit Haiti a few years ago, walikuwa exposed, na siku hizi wahaiti wengi wanaona hata aibu kujitambulisha kuwa ni wahaiti

usinikumbushe wahaiti wa majimbo ya pale marekeni kusini. nilikuwa na mmoja sehemu hakuwa na tofauti yoyote na mhaya wa muleba. mitako hiiiiyo. tukiwa kwenye ile gari yangu ulikuwa huwezi kujua nani katoka tz nani katoka haiti. ila mnapowasema vibaya hawa watu mnakosea sana. wazungu wana njia nyingi kukusababishia tatizo baadaye wewe uonekane mjiiiiiinga kumbe ni mjinga by design. bara la africa tumetangazwa wajinga sana wakati violin tumegundua sisi bila msaada wa mzungu, silaha za mashino ya michongoma ya miti chini tumegundua wenyewe. dawa asili hatukuelekezwa na mzungu na watu walipona. leo utaitwa black idiot. haiti ipo vile ilivyo by design.
 
Msiende mvali sana mpaka Haiti hapo hapo africa mashariki Wasomali na wale wajinga wengine Elitrea wanadai wao si waafrica
 
Hao Wa Jamaica wenyewe na uweusi wao bado wanajiona sio waafrika na hawataki kusikia umewaita hivyo..they simply doesn't like africans!! The teenagers gang war in London of black on black is all about teenagers of jamaican's origin fighting with the ones from african's origin..ie.nigerians/..watu weusi hawapendani si mnaona hata wabongo kutwa kujadili udini as if hizo ni dini zetu wakati wenye nazo hata hawazifuatilii.


Historia ya marasta naijua sana..kitu kimoja lazima ujue sio wajamaica wote ni marastafarian , ni wachache kwa population yao ila wengi kuliko nchi zingine zote zenye marasta..huyo kiongozi wa marasta alikua ni mfalme Haile Selasie- simba wa yuda..na ndie aliwapa ardhi marasta wanaoishi ethiopia....lakini hilo la wajamaica kuukataa u weusi lipo sana ni fact..




sasa sikiliza dogo. kwa kuwa inaelekea unajua sana kutumia wikipedia, em sasa tizama hoja yako ya mwanzo ambayo nimekuwekea hapo juu, kisha nenda kwenye wikipedia. gonga maneno haya mawili kwwenye google ama hata hiyo wikipedia: Fallacies of logos. Soma hapo labda utatambua umekosea wapi.

nadhani utagundua kwamba tangia mimi nimekupa mfano wa wajamaica ambao wanaipenda na kuienzi afrika. Wewe bado umeendelea kuwaaminisha wanajamvi kwamba wajamaica hawaipendi afrika. Wewe ni mwongo. umefanya kosa katika ujenzi wa hoja linatiwa fallacy of logos. Hili ni kosa kama la kumuona mtu mmoja katika kundi la watu 10 ni chongo, nawe utoke hapo uende kijiweni na kuwaambia watu umekutana na watu chongo 10. Huo ndio uongo unaoletwa kwa kulazimisha uongo uwe ukweli kutokana na kitu kidogo kilicho cha kweli katika hoja.

Sema hivi: kuna baadhi ya wajamaica hawaipendi afrika. hiyo itakuwa sawa. Lakini hiyo ni ileile migawanyiko inapatikana duniani kote. Leo hii kuna wanyakyusa wanaodai hawawapendi wasafwa. lakini ukipinda kona mbili tatu pale Uyole utamkuta msafwa na mnyakyusa wamejifungia chumbani wanalia kwa mahaba. haya, wapi na wapi? Kwa hiyo unaposema "Hao Wa Jamaica wenyewe na uweusi wao bado wanajiona sio waafrika na hawataki kusikia umewaita hivyo..they simply doesn't like africans!!" huku ni kusema uongo. Wajamaika wote hawaipendi Afrika? Mimi ninekuonesha kundi ambalo linaipenda Afraka, na kwa bahati umekiri kujua kundi hilo lipo. Kwa hiyo si wajamaica wote wanaichukia afrika.

NOW: Ukishamaliza kuangalia fallacies of logos kwenye wikipidia rudi hapa.
 
Back
Top Bottom