Kwa hasira ya sintofahamu inayoendelea,wananchi wameamua kufunga barabara ya Moshi Arusha. Hakuna kwenda wala kutoka Moshi. Pikipiki zimelazwa barabarani. Na wabaki na matokeo yao.
Kwa hasira ya sintofahamu inayoendelea,wananchi wameamua kufunga barabara ya Moshi Arusha. Hakuna kwenda wala kutoka Moshi. Pikipiki zimelazwa barabarani. Na wabaki na matokeo yao.
sio kama nauburi udini no.! ila sehemu nyingi alizo kimbiza jk zina idadi kubwa ya vibarakashee na madira,na ndo maana ukicheki utakuta wana gawana vibarakashee na CUF,next TIME siangalii sera ni IMANI MKAZI. FAAAKI PISI
Kwa hasira ya sintofahamu inayoendelea,wananchi wameamua kufunga barabara ya Moshi Arusha. Hakuna kwenda wala kutoka Moshi. Pikipiki zimelazwa barabarani. Na wabaki na matokeo yao.
JK anazidi kuharibu nchi. Tokea uhuru haijawahi kutokea namna hii. Kila kona watu wanalalama! Kama utakiwi Ikulu na wenye Ikulu si utoke tu??? Mbona utabaki na heshima ya rais mstaafu??
mbona balaa hivi.....nini lakini CCM....wanaogopa vijana bungeni...wanataka wazee wanaoenda kusinzia ili bora liende....mwaka huu imekula kwao...hasinzii mtu...vijana wadogo damu changa...
sio kama nauburi udini no.! ila sehemu nyingi alizo kimbiza jk zina idadi kubwa ya vibarakashee na madira,na ndo maana ukicheki utakuta wana gawana vibarakashee na CUF,next TIME siangalii sera ni IMANI MKAZI. FAAAKI PISI
sio misalaba. ukiangalia sehemu dr ameshinda kuna 40% zile kofia na 40% hiyo misalaba. lakini aliposhinda dacta utakuta kofia ni 70% na hiyo misalaba ni 10%. fanya uchunguzi zaidi
sio kama nauburi udini no.! ila sehemu nyingi alizo kimbiza jk zina idadi kubwa ya vibarakashee na madira,na ndo maana ukicheki utakuta wana gawana vibarakashee na CUF,next TIME siangalii sera ni IMANI MKAZI. FAAAKI PISI
sio misalaba. ukiangalia sehemu dr ameshinda kuna 40% zile kofia na 40% hiyo misalaba. lakini aliposhinda dacta utakuta kofia ni 70% na hiyo misalaba ni 10%. fanya uchunguzi zaidi
Jamani mnaona tulipofikishana huku??? Waliosema kuwa UDINI na UKABILA ni kama nyama ya mtu kamwe mtu asijaribu kuitamani hawakuwa wajinga.....Sasa sijui na waislamu nao wanaobserve vipi na watareact namna gani.......
Political opportunism imelimaliza taifa letu......
Jamani mnaona tulipofikishana huku??? Waliosema kuwa UDINI na UKABILA ni kama nyama ya mtu kamwe mtu asijaribu kuitamani hawakuwa wajinga.....Sasa sijui na waislamu nao wanaobserve vipi na watareact namna gani.......
Political opportunism imelimaliza taifa letu......