Losomich
JF-Expert Member
- Nov 9, 2011
- 371
- 71
Kuna taarifa za kuamini kwamba ccm imeanza kupoteza mvuto wake kwa kasi wilayani Monduli. Sababu hasa ni viongozi wa kitaifa wa ccm kuendelea kumsakama mh mbunge wa Monduli kapten MSTAAFU EL wakimtaka ajivue gamba, ile hali wakijua fika kwamba hawana ushahidi wowote ktk yale wanayotakumvua nayo gamba. Na kunaushahidi wa kutosha kwamba ktk chaguzi zijazo kwa vyovyote uongozi wa sasa utatelekeza jimbo hilo kwa chama chochote cha upinzani kitakachokuwa radhi kuichukuwa jimbo hilo.
Source: Viongozi wa kimila wa Wamasai (malagwanani).
Source: Viongozi wa kimila wa Wamasai (malagwanani).