Kuna hawa watumishi wa umma walioachishwa mishahara yao tangu mwezi July Kwa nini hawalipwi haki zao ? kwani walijiajiri wenyewe? na isitoshe kama kama ni vigezo kwani hawakuviona hivyo vigezo? Lakini OK ikifika uchaguzi watu hawajitambui
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.