Habarini wanajamvi

Habarini wanajamvi

ndeambase

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2016
Posts
626
Reaction score
312
Kuna hawa watumishi wa umma walioachishwa mishahara yao tangu mwezi July Kwa nini hawalipwi haki zao ? kwani walijiajiri wenyewe? na isitoshe kama kama ni vigezo kwani hawakuviona hivyo vigezo? Lakini OK ikifika uchaguzi watu hawajitambui
 
Umeuliza na kijijibu mwenyewe...
......
Anyway tunatengeza uchumi kwanza.
 
Back
Top Bottom