nenda hosp upime na hiv pia
Mimi ni mgeni kidogo humu. Napenda kujua nini dawa ya kaswende.
kabla ya yote umejuaje kwamba ni kaswende??
may be kasoma alama za nyakati!!!!!!!
Unakumbuka tulikuwaga tunafundishwa 'Symptoms of Gonorreah"
mwalimu !!!nimemuuliza makusudi manake najua anaweza kuchanganya madesa ya dalili anazoziona kama wewe hapo bold.huyu kasemea kaswende which is syphilis.
nimemuuliza makusudi manake najua anaweza kuchanganya madesa ya dalili anazoziona kama wewe hapo bold.
huyu kasemea kaswende which is syphilis.
nimeamini wewe mwalimu. mie na umri wangu mkubwa bado nachanganya haya mgonjwa ya zinaanaam mwanangu,
nimekosea kwani??
nimeamini wewe mwalimu. mie na umri wangu mkubwa bado nachanganya haya mgonjwa ya zinaa
Mimi ni mgeni kidogo humu. Napenda kujua nini dawa ya kaswende.
kwaswali ulilouliza imebidi nirudi juu kuangalia prifile yako kwanza.
ofcourse mimi ni mwl wa Physics na Chem, lkn hata Biology huwa nafundisha