sink sink
Member
- Sep 12, 2022
- 14
- 5
Mimi Nina miaka 40 nitatizo la kwenye mfumo wa viungo vyangu nyeti Kwanza kbisa ninauvimbe kwenye corodani la kushoto niwamda mrefu na limepanda juu kuliko lingine uvimbe huo haukui uko vile vile miaka yote wakati mwingine huwa unaniuma kwa mbali (2) ninauvimbe kwenye kwenye kichwa Cha uume kwa ndani ya nyama siyo kwenye tundu hakikui miaka yote Kiko vile vile na Wala hakiumi Ila wakati mwingine huwa kinachoma Kama sindano.Na kimesabisha uume kuwa mdogo na pia hausimami vizuri yaani siwezi kusimamisha hata sekunde 10. Nimehangaika Sana sijapata musaada wowote hata hospitalni mimeshaenda walinipima hawakuona tatizo. Kwamwenye kujua haya magonjwa na tiba yake anisaidie maana nateseka Sana kukosa familia.