Lokissa
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 7,446
- 2,490
Imetokea kati ya Mzumbe na Morogoro.majina na habari kamili zitawajia punde
yasemekana wote ni wa kike...
More update.
kwa mujibu wa mwanaJF
yasemekana wote ni wa kike...
More update.
kwa mujibu wa mwanaJF
Ni kweli jana kulikuwa na mahafali Mzumbe University yaliyofanyika Mzumbe Main Campus ila taarifa kwamba kuna ajali imetokea zilianza kusikika mida ya saa tatu usiku kwamba kuna ajali maeneo ya Mindu(eneo hili lipo barabara kama unaelekea Iringa),
2. Kituo cha polisi wanasema habari si za kweli.
4. MODS naomba hii topic ifutwe na ile ingine inayofanana na hii.
habari hizi bado kuthibitishwa.samahani kwa waliokwazika
namshukuru Mungu kuwa shetani hajafanikiwa kazi yake
2. Kituo cha polisi wanasema habari si za kweli.
4. MODS naomba hii topic ifutwe na ile ingine inayofanana na hii.
habari hizi bado kuthibitishwa.samahani kwa waliokwazika
namshukuru Mungu kuwa shetani hajafanikiwa kazi yake