Habari Picha: Wachezaji walipigwa vichwa na refa sababu ya ukaidi uwanjani

barafu

JF-Expert Member
Apr 28, 2013
6,739
32,874
image.jpeg


Hii ilikuwa huko Iringa,Refa msaidizi alipoamua kuwatandika vichwa wachezaji "jeuri" waliotaka kumpiga muamuzi wa kati kwa madai kuwa anapeleka mambo kwa upendeleo.

Wachezaji hawa wawili walikula vichwa mpaka kupata majeraha,huku mmoja akilia hadharani kama mtoto mdogo.

Refa msaidizi amepewa adhabu kwa kosa hili...hawa ni wachezaji wa Mshikamano FC waliotaka kuleta vurugu baada ya kufungwa na "Wanapaluhengo Lipuli FC".Marefa wa siku hizi sio wa mchezomchezo!!!
image.jpeg
 

Attachments

  • image.jpeg
    image.jpeg
    52.3 KB · Views: 49
Duh hawa wachezaji wamepata kipigo walitaka kumpiga muamuzi wa kati wameishia kula kichapo wao safi sana .
 
Hahahaa pamoja na Mshikamano wao lakini hawakufua dafu mbele ya Refa msaidizi! Wameishia kula ma-head ya kufa mtu! Poa tu
 
Hahahahahaa........Picha ya kwanza inafurahisha sana.

Jamaa kama vile anakonyeza hivi halafu jicho limegeukia nyuma.
 
Mkuu barafu ntafutie namba za huyu kocha .
Mkuu kwanza Jumamosi utaenda Kisongo?Nataka nije twende kumuona jamaa.Sasa nipo hapa Mjengoni Club/Pub napata supu ya mkia
Mkuu huyo sio kocha,huyo ni daktari wa team anamtia barafu jamaa.
 
Ndiyo mkuu ntaenda tuombee uzima ntafutie namba za huyo Daktari wa team unitumie
Mkuu kwanza Jumamosi utaenda Kisongo?Nataka nije twende kumuona jamaa.Sasa nipo hapa Mjengoni Club/Pub napata supu ya mkia
Mkuu huyo sio kocha,huyo ni daktari wa team anamtia barafu jamaa.
 
Mwanga Lutila

Kumbe na wewe upo kwa kina Wanapaluhengo na Lunoge Lweki
Nasikia mmebakiza point moja kuanza kuonekana Azam Tv mwakani

Vpl Lazima tuingie kaka Iringa ni muda mrefu haijawahi kuwa na timu inayoshiriki ligi kuu.

Mpaka hapa tulipofika ni kwa taabu sana.

Wanapaluhepo Lunoge.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom