thetallest
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 8,256
- 9,085
Uwekezaji katika soko la hisa umeongezeka kutoka tsh trln 23 mpaka trln 26,hatua nzuri sana,wale wa kutokwa mapovu serikali ikifanya vizuri karibuni
Mpaka sasa hakuna uthibitisho wa tuhuma zako,pia fahamu kuna wengine inatakiwa wakae pembeni ili wengi wafurahie matunda ya taifa lao,kwanini utumike kulikwamisha taifa?Hayo yote hayana maana ikiwa wanaotawaliwa wanauliwa kwa makusudi na vyombo vya dola ambavyo kazi yake kubwa ni kuwalinda hao wanaowaua
Uwezo wako wa kufikiri umefikia mwishoMmeshindwa kutueleza zilipo 1.5T mtaweza kuchambua habari za hisa DSE?
Atuonyeshe lilipo kaburi la Azory Gwanda mathalan.Mpaka sasa hakuna uthibitisho wa tuhuma zako,pia fahamu kuna wengine inatakiwa wakae pembeni ili wengi wafurahie matunda ya taifa lao,kwanini utumike kulikwamisha taifa?
Mkuu hawa jamaa story za vijiweni zimewalemaza sana,ukimuomba proof atakwambia niliambiwa na MboweAtuonyeshe lilipo kaburi la Azory Gwanda mathalan.
Uwezo wako wa kufikiri umefikia mwisho
Sasa wewe unaambiwa DSE mambo super unabisha nini sasa?!!Hivi unaelewa ulichokiandika lakini? Umefuatilia taarifa za robo ya mwaka za uchumi kutoka vyanzo vya kueleweka
Vyanzo vipi vyakuaminika?,kuna bank zimepata faida,kuna bank faida zimepungua,ni kawaida kabisa,bank za ujanjaujanja zinajiengua zenyewe,chanzo chako cha kuaminika ni kipi?,suala la kujenga uchumi lina changamoto zake,wewe.endelea kuamini vyanzo vyakoHivi unaelewa ulichokiandika lakini? Umefuatilia taarifa za robo ya mwaka za uchumi kutoka vyanzo vya kueleweka? Umesikia mabenki yalichopost kipindi hiki? Unabahati nimelelewa kuaminishwa kwamba kutukana watu si uungwana.
Hustahili hata kidogo kutilia shaka uwezo wangu wa kufikiri, jadili nnachokiandika sio uwezo wangu, sio tu kwamba hauna mamlaka hayo, haustahili na wala hautakuja kuwa na uwezo huo.
Sasa wewe unaambiwa DSE mambo super unabisha nini sasa?!!
Tovuti ya DSE povu la nini?!!UNweza kuelezea hiyo mambo super inamaanisha nini
Vyanzo vipi vyakuaminika?,kuna bank zimepata faida,kuna bank faida zimepungua,ni kawaida kabisa,bank za ujanjaujanja zinajiengua zenyewe,chanzo chako cha kuaminika ni kipi?,suala la kujenga uchumi lina changamoto zake,wewe.endelea kuamini vyanzo vyako
Tovuti ya DSE povu la nini?!!
Dawa yako wewe ni link tu ili uufyate.Sasa kama unasoma jambo unalielewa vizuri lakini hauwezi kulielezea si ni tatizo?
Dawa yako wewe ni link tu ili uufyate.