Gym Equipments/vifaa vya gym

Gym Equipments/vifaa vya gym

Mwananjengo

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2012
Posts
317
Reaction score
101
Wakuu nahitaji vifaa vya gym kwa ajil ya kuanzisha gym centre,kama kuna anayejua vinapopatikana kwa bei nafuu naomba kujulisha.Unaweza kunipa hata bei ya kila kifaa kama utakuwa nayo au contact za mahali ambapo ntapata.
 
Wakuu nahitaji vifaa vya gym kwa ajil ya kuanzisha gym centre,kama kuna anayejua vinapopatikana kwa bei nafuu naomba kujulisha.Unaweza kunipa hata bei ya kila kifaa kama utakuwa nayo au contact za mahali ambapo ntapata.
Mkuu nenda game pale mlimani city,however,unatakiwa ufahamu basic equipments ambazo ni muhimu zaidi kwa gym kulingana na wateja wako,si zote uyazipata game,ila kuna baadhi tu kama home gym,benches,steps,etc.goodlucky
 
Mkuu nenda game pale mlimani city,however,unatakiwa ufahamu basic equipments ambazo ni muhimu zaidi kwa gym kulingana na wateja wako,si zote uyazipata game,ila kuna baadhi tu kama home gym,benches,steps,etc.goodlucky

vp mkuu ulifanikiwa kuanzsha gym center?
 
Back
Top Bottom