Mwananjengo
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 317
- 101
Wakuu nahitaji vifaa vya gym kwa ajil ya kuanzisha gym centre,kama kuna anayejua vinapopatikana kwa bei nafuu naomba kujulisha.Unaweza kunipa hata bei ya kila kifaa kama utakuwa nayo au contact za mahali ambapo ntapata.