Mkuu unauza gari au magari? maana mada inasema GX 100 lakini ndani umeanza na toyota mark ii. Umenichanganya hebu iweke sawa. Picha za gari au hayo magari na details zote muhimu tuweke hapa jamvini ili tufanye maamuzi
GX 100 ya 2008 au unamaanisha iliingizwa 2008 bongo? mbona hawatoi tena GX 100 zilishaachwaga kutengenieza tangu 2002 hzo, sasa hivi wanatoa Mark X...aisee