K A B U R U
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 922
- 1,257
Mwaka jana 2015, sherehe za Uhuru na Muungano zilisitishwa na pesa zikaelekezwa kwenye maeneo ambayo wananchi wengi wanafaidika nayo. Maamuzi hayo yaliungwa mkono na wengi, ingawa hayakueleza kama yatakuwa endelevu kwa miaka inayofuata. Sasa naomba wadau wenye taarifa za kuwepo au kutokuwepo kwa maazimisho hayo kwa mwaka huu 2016 watujuze.