Sijaelewa uhusiano wa swali lako na hayo maeneo.
Angalia usifanye kama yule jamaa anayechukua sare na bendera za chama halafu anapeleka kwenye mikutano na kuvalisha wanyama. Nunua gwanda kwa lengo la kulivaa si vinginevya...
Gwanda limekuwa bidhaa adimu sana maana linasakwa na Watanzania wake kwa waume ndani na nje ya nchi. Subiri labda wanaofahamu linapatikana wapi wanaweza kukusaidia.
Mkuu siku mbili hizi umekua cool sana aisee.
1) Umechukia matrilioni ya nje
2) Umesapoti waislam kukacha sensa
3) Umesaidia upatikanaji wa Gwanda za CDM
4) ......
Hujamjua Ritz mkuu, ana akili sana ila wakati flani huwa anaamua kujiondoa ufahamu makusudi, tena akikutana na zomba,majebere,makupa,rejao na MAMA POROJO ndo shida tupu, !! fuatilia posts zake utamgundua