Gwajima kesho EFM

tapatalk_jpeg_1490047586031.jpg
 
Sasa pole wanapewaje efm wakati waliovamiwa ni cloud au inakuwaje api
 
Mkoromije apigweeee, apigweeeeee, aisee watamuua mkoromije, naona hata ofisi haikaliki kwa sasa
 
Dah...akili za ngada hizi...huku wanasema hawata andika habari zake....kule wanaendelea na mapambio :):)
 
Sasa hivi hawaruhusiwi kuandika chochote kuhusu Makonda kwa hiyo hata akiwanyoosha wataugulia maumivu kimya kimya.


Makonda wanyoooooshe vizuri sasa
 
Hana kazi ya kufanya huyo mwacheni anatafuta mistari ya kuhubiri kanisani. Maana naona ajenda yake muda c mrefu itakuwa expired
 
Back
Top Bottom