Gwajima amgomea DC Makonda

Gwajima amgomea DC Makonda

MWANABUNDA

Member
Joined
Feb 2, 2015
Posts
25
Reaction score
10
[h=2]Gwajima amgomea DC Makonda[/h] MKUU wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda amemwandikia barua Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima akimtaka afike mbele ya Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya kwa mahojiano. Inaelezwa kuwa Makonda alimtumia Askofu Gwajima barua hiyo Machi 30 mwaka huu, akiwa amelazwa katika Hospitali ya TMJ. Hata hivyo, kiongozi huyo wa kiroho amegoma akisema hawezikwenda ofisini kwa mkuu huyo wa wilaya kwa mahojiano.




Je Hapa makona an uhalali wa kufanya hivi au anajichangoanya na kuingilia kazi za vyombo vya usalama?? Naomba wadau mnijuze.
 
Umewahi kusikia rais anaita watu kuwahoji? Madaraka yanampeleka pabaya. Kuwa mwenyekiti wa kamati ya ulinzi ndio tatizo
 
makonda badala afanye kazi za maendeleo wilayani...

anaingilia kazi ya kova..
 
Back
Top Bottom