Unaweza kusimama mahakamani na kuthibitisha uhalifu wake hapo? Tuache unafiki, kila mtu anauhuru wa kusema kile anachokiamini, wewe unatumia mitandao ya kijamii, yeye anatumia jukwaa la kanisa lakeHuyu Crook mnampa kibri sana, sijui kwa kuchafua na kutukana watu kama ni sehemu ya leseni ya biashara yake ya injili, bado najiuliza anafanya nini uraiani....
Anatakiwa awe mahali panapostahili wahalifu wa aina yake
Tuambie hayo makavu live aliyopewa.Lissu kapewa makavu live ***** .. eti mikataba !! So what?? Madini sio nyanya kwamba yataoza!! Hapa kazi tuu.
Hivi Gwajima ni nani ? Si yule mcheza shoo wa sikinde ! Mbona mnanichanganyaGwajima anakamta fursa ya kuwa karibu na rais baada ya kumsumbua mwanae kipenzi
Unadhani hajaona Lusekelo kafanyiwa nini na Mukubwa
Twambie kamsemaje lisu? Unarukia tu hujui hata alichosemaLeo tena Askofu mungu wenu kawa mtu wa hovyo kisa kamsifia raisi na kumsema Tundu bovu,watu wa Ufipa mumekuwa viburudisho kweli kweli
Niiteni mahakamani basi, huwezi kutoa maoni kwa kushambulia watu, huna haki hiyo , na kama wewe ni mfuasi wake natanguliza pole sana kwako , naomba huyu Yesu wa Israel afungue akili yako mtu wa MunguUnaweza kusimama mahakamani na kuthibitisha uhalifu wake hapo? Tuache unafiki, kila mtu anauhuru wa kusema kile anachokiamini, wewe unatumia mitandao ya kijamii, yeye anatumia jukwaa la kanisa lake
Leo tena Askofu mungu wenu kawa mtu wa hovyo kisa kamsifia raisi na kumsema Tundu bovu,watu wa Ufipa mumekuwa viburudisho kweli kweli
Itakuwa vema akimpotezea! Upeo katika masuala husika unatofautiana sana.Hahahaha Sijui lissu atamjibu au atampotezea
hahahahaha mbona mna mtishia?Gwajima nenda pole poleeeee, kumbuka mtetezi wako ni Peter Kibatala au John Mallya, siku zote unapoitwa kisutu. Nenda taratibu hawa wanaoukutetea wanaamini lissu ndio idol au model wao katika sheria unapomsema unawaumiza mioyo yao. Unaweza ndio ukawa unawalipa malipo manono lakini unafahamu misimamo yao? Sina uhakika na Mallya ila huyu Kibatala ni MTU wa kusimamia vitu flani kwa hali na mali, namfananisha na marasta fali, habadiliki kirahisi. Mseme lissu kwa hoja usipayuke tutashi dwa kuja kuimba kwaya pale centro na IGP ashakuwa Cyro unategemea nani atakutoa?
Kwaheri
Sijamtishia baba askofu nimetoa tu warning, sie wengine tunampenda sana hatupo tayari kumpoteza tena kwenye issues ambazo ni nonesensehahahahaha mbona mna mtishia?