Gwajima alikuwa na ugomvi na Prof. Muhongo na Lissu siku zote, mbona hajawahi kuwaponda kama leo?

Evans-Arsenal

JF-Expert Member
Jan 10, 2016
868
1,385
Leo akiwa kanisani kwake Mchungaji wa Makanisa ya Ufufuo na Uzima Dkt Gwajima awaamshia dude Muhongo na Tundu Lissu, anasema anashukuru Muhongo amekomeshwa, Muhongo aliwaita Watanzania madalali na pesa zao ni za mandazi tu.
Najiuliza hivi mbona hajawai kuwataja siku nyingine zote na leo tu ndo kawataja na kuwasema baada ya Hili sekeseke linaloendelea la mchanga wa madini hususani ktk wizara ya madini na Nishati ...!!
 
Huyu Crook mnampa kibri sana, sijui kwa kuchafua na kutukana watu kama ni sehemu ya leseni ya biashara yake ya injili, bado najiuliza anafanya nini uraiani....

Anatakiwa awe mahali panapostahili wahalifu wa aina yake
 
Gwajima anavyowasisitizia waumini wake kwamba watanzania wamerogwa na ni kweli yupo sahihi. Kusikiliza mataptap ya Gwajima week in week out si kurogwa huko?
 
Leo akiwa kanisani kwake Mchungaji wa Makanisa ya Ufufuo na Uzima Dkt Gwajima awaamshia dude Muhongo na Tundu Lissu, anasema anashukuru Muhongo amekomeshwa, Muhongo aliwaita Watanzania madalali na pesa zao ni za mandazi tu.
Najiuliza hivi mbona hajawai kuwataja siku nyingine zote na leo tu ndo kawataja na kuwasema baada ya Hili sekeseke linaloendelea la mchanga wa madini hususani ktk wizara ya madini na Nishati ...!!


Hivi kwa mtu unayejiita "m-Kristo" unaweza kutoka nyumbani kwako Jumapili ukafunga safari kwenda kwa Gwajima na ukarejea nyumbani ukijisikia kuwa umesali? kuwa umepokea upako?! Ama kweli "wajinga ndio waliwao"!
 
Gwajima anavyowasisitizia waumini wake kwamba watanzania wamerogwa na ni kweli yupo sahihi. Kusikiliza mataptap ya Gwajima week in week out si kurogwa huko?
Leo tena Askofu mungu wenu kawa mtu wa hovyo kisa kamsifia raisi na kumsema Tundu bovu,watu wa Ufipa mumekuwa viburudisho kweli kweli
 
Lissu kapewa makavu live ***** .. eti mikataba !! So what?? Madini sio nyanya kwamba yataoza!! Hapa kazi tuu.
 
Leo akiwa kanisani kwake Mchungaji wa Makanisa ya Ufufuo na Uzima Dkt Gwajima awaamshia dude Muhongo na Tundu Lissu, anasema anashukuru Muhongo amekomeshwa, Muhongo aliwaita Watanzania madalali na pesa zao ni za mandazi tu.
Najiuliza hivi mbona hajawai kuwataja siku nyingine zote na leo tu ndo kawataja na kuwasema baada ya Hili sekeseke linaloendelea la mchanga wa madini hususani ktk wizara ya madini na Nishati ...!!

Waokota makopo mnasumbua sana, sasa hata mwanao akiona ulichoandika sijui Kama hatokufunga kamba
 
Back
Top Bottom