MgonjwaUkimwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2006
- 1,336
- 875
Ameanguka na kupelekwa hospitali alipokuwa akihesabu kura zake za uenyekiti wa CCM mkoa wa Lindi. Hadi anaanguka inasemekana alikuwa na kura 100 dhidi ya kura 500 za mpinzani wake, Mtopa. Matokeo bado kutangazwa. Kama kawaida ya siasa za sasa za CCM, Gwaje na Mtopa wanaumgwa mkono na Lowassa na Membe, respectively; inasemekana.