bush crazy
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 773
- 1,087
Naomba kujua ni ufaulu gani wa diploma ya education utaniruhusu kusoma degree?
Wewe una GPA ya ngapi?Naomba kujua ni ufaulu gani wa diploma ya education utaniruhusu kusoma degree?
2.9Wewe una GPA ya ngapi?
wanataka 3.0
ahsante mkuuwanataka 3.0
Sasa kama na wewe wanakupiga chini hauna tofauti na mimi nina 2.3
ahsante mkuu ufaulu wa CEE nao mawenge mwaka huu!wanataka 3.0
Kwanini usipate?Nina 3.8GPA naweza kupata udsm?
Chagua course usichague chuoNina 3.8GPA naweza kupata udsm?
Omba ila kuna competition kubwa sana hapo, jaribu pia kuomba na vyuo vingine tofauti .Nina 3.8GPA naweza kupata udsm?
kama ulifanya vizuri katika ufaulu wako wa form four wanaweza kukuchukua lakini kama form four ulizingua tafuta kwengineNina 3.8GPA naweza kupata udsm?
iv bro mtu akiahrisha kusoma akasema atasoma mwak mwingine af huo mwak vigezo vikawa vimebadilk, ina maan yey atakosa chuo au atadahliw kulingana na mwak wake ambapo alkuwa na vigezo mf GPA ikibadilka?kama ulifanya vizuri katika ufaulu wako wa form four wanaweza kukuchukua lakini kama form four ulizingua tafuta kwengine
kama ulienda kufanya usajili alafu ukahairisha wew utakuwa moja kwa moja mwanafunzi wa chuo husika hautofanya tena udahili utapewa barua ya chuo ya kusimama masomo ukirudi unaenda ku report admission office taratibu nyingine zinaendelea , kama haukwenda ku report inabid kufanya usajili upya tena inabidi uende kuondoa jina lako TCU maana unaweza kupata tabu ya kuonekana unasoma wakati chuo haupo hivyo system za udahili zikakutema.iv bro mtu akiahrisha kusoma akasema atasoma mwak mwingine af huo mwak vigezo vikawa vimebadilk, ina maan yey atakosa chuo au atadahliw kulingana na mwak wake ambapo alkuwa na vigezo mf GPA ikibadilka?
OK bro mf mm nmemalz mwaka huu ila cjaomba kabsa na vigezo vya GPA ninavyo hvo nisiombe kabisa nitaomba mwk kesho nikianz kusoma nianz kila kitu upya et, maana yake si watanidahl kw vigezo vya mwaka huukama ulienda kufanya usajili alafu ukahairisha wew utakuwa moja kwa moja mwanafunzi wa chuo husika hautofanya tena udahili utapewa barua ya chuo ya kusimama masomo ukirudi unaenda ku report admission office taratibu nyingine zinaendelea , kama haukwenda ku report inabid kufanya usajili upya tena inabidi uende kuondoa jina lako TCU maana unaweza kupata tabu ya kuonekana unasoma wakati chuo haupo hivyo system za udahili zikakutema.
kama haujaomba ndio uombe sasa watakudahili vip tena?OK bro mf mm nmemalz mwaka huu ila cjaomba kabsa na vigezo vya GPA ninavyo hvo nisiombe kabisa nitaomba mwk kesho nikianz kusoma nianz kila kitu upya et, maana yake si watanidahl kw vigezo vya mwaka huu
kama ulifanya vizuri katika ufaulu wako wa form four wanaweza kukuchukua lakini kama form four ulizingua tafuta kwengine
nahisi wamebadilisha post haikuwa inasema hivyo nilimjibu mtu alikuwa anataka kwenda UDSM ndio nikamwambia kama matokeo yake yapo vizuri ndio achagueKumbe n kweli kuwa na matokeo ya form four wanaconsider hata kama una GPA kubwa