Lakuchumpa
Member
- Mar 28, 2012
- 73
- 13
Iposiku Tanzania tutasikia Kuna makundi ya kutekeleza mashambulizi na kujitoa muhanga kama Yale ya Alshababu na boko aram/nigeria. Hii Itkua matunda ya vikundi vinavyopewa mafunzo na vyama vya siasa mfano green guide wa sisim. Nilimsikia kiongozi mmoja wa ccm akidai ni kikundi cha kusak ushind wakati wa uchaguzi. Sasa jiulize huo ushindi wanausaka je na ngali kinachoamua ushindi ni Kura kutoka kwa wana nchi?