Tukisema Ulaya na Nchi za magharibi ujasusi wao ni wakiwango cha kutisha muwe mnaamini.
Ktk hili sitaki kuamini hata Tanzania huenda tumeshapigwa japo yaweza kuwa top secret.
Siku chache baada ya Mchina kujifanya anapiga ban iphone majasusi wameamua kukinukisha kwa kuvujisha taarifa za Siri jinsi Taifa Hilo linavyo uza duniani silaha fake kwa gharama kubwa wakati mataifa hayo yakibaki na silaha mbovu.
Huu ni ushahidi wakutisha ambao majasusi walikaa kimya watu wapigwe Kisha wake wakinukishe ila China alipe mara elfu.
Endeleeni wa bongo wa Buza kumsifia mchina na Mrusi ila tutaelewana baada yakuji elewa.
Nisiandike sana bofya below ukaone China alicho watenda.
Ktk hili sitaki kuamini hata Tanzania huenda tumeshapigwa japo yaweza kuwa top secret.
Siku chache baada ya Mchina kujifanya anapiga ban iphone majasusi wameamua kukinukisha kwa kuvujisha taarifa za Siri jinsi Taifa Hilo linavyo uza duniani silaha fake kwa gharama kubwa wakati mataifa hayo yakibaki na silaha mbovu.
Huu ni ushahidi wakutisha ambao majasusi walikaa kimya watu wapigwe Kisha wake wakinukishe ila China alipe mara elfu.
Endeleeni wa bongo wa Buza kumsifia mchina na Mrusi ila tutaelewana baada yakuji elewa.
Nisiandike sana bofya below ukaone China alicho watenda.