Graphics designer mkali...cheki hapa

prince wilson

Member
Joined
Jan 7, 2013
Posts
10
Reaction score
4
View attachment 78874View attachment 78875View attachment 78876View attachment 78878View attachment 78879
Hizi ni baadhi ya kazi nilizo zifanya zipo nyingi nyingi sana mudamwingi nikiwa nimetulia nyumbani huwa nina design vitu mbalimbali ila kati ya hizo apo juu niliyo ifanya kikazi na kuuza ni GSM SOLUTION,SEMBE BORA NA KILIMANJARO SUPERMARKET.
Niunge mkono ukinipa kazi nitaifanya vizuri zaidi iwe kama ulivyo tarajia na huwa beizangu ni rahisi sana .


Kwa Makampuni mbalimbali, Watu binafsi na Taasisi mbali mbali nawatangazia kuwa nina DESIGN GRAPHICS mbalimbali kama vile:-
1. LOGO
2. BROCHURES
3. BANNERS
4. MATANGAZO YA MABANGO eg.MADUKA,MAKAMPUNI,SALOON nk.
5. BUSINESS CARDS
6. PIA UNAWEZA KUTUMA PICHA YAKO ILIYO PIGWA NA DIGITAL CAMERA NA IWEZE KUFANYIWA GRAPHICS MBALI MBALI NA KUONEKANA NZURI NA YA KUPENDEZA ZAIDI.

KWA MAELEZO ZAIDI PIGA SIMU NAMBA ZIFUATAZO
0719 147503
0753 009325
E-MAIL: wilson.malisa@yahoo.com
 

Weka links tuone vitu, mambo siku hizi hadharani simu peke yake haitoshi..
 

Hizi ni baadhi ya kazi nilizo zifanya zipo nyingi nyingi sana mudamwingi nikiwa nimetulia nyumbani huwa nina design vitu mbalimbali ila kati ya hizo apo juu niliyo ifanya kikazi na kuuza ni GSM SOLUTION,SEMBE BORA NA KILIMANJARO SUPERMARKET.
Niunge mkono ukinipa kazi nitaifanya vizuri zaidi iwe kama ulivyo tarajia na huwa beizangu ni rahisi sana .
 

Nitafurahi sana mkuu endapo utakubali tufanye kazi pamoja, cheki baadhi ya sampuli hizo! e-mail:kkajiti@yahoo.co.uk
 
unajitahidi sana, naamini utapata wateja!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…