Kosa kubwa tulilofanya nyumbani kwetu ni kutupilia mbali ile gramophone ya marehemu baba yetu. Ilikaa idle kwa muda mrefu baada ya record player na baadaye cassete player kutawala anga, tukaona kuwaumuhimu wa hiyo Garamohpne hauopo tena; tulikuwa tumeakiwa na santuri kama nne; nakumbuka Malaika, Teresa na Kilimanjaro. Haikuwa na sauti kubwa kwa vile ilikuwa haitumiee umeme, inabidi usikililize ukiwa umekaa pembeni. Leo hii Gramophone hiyo inaweza kuwa hazina.