Askari Muoga
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 6,113
- 4,652
wakristo hatunaga ubaguzi mungekuwa nyie mungetangaziana kule ndio maana padre ameleta huku sisi hatuna ubaguzi asili yetu n upendo na upoleWakinaa hasan na mohamed ni ruksaa kuombaa
wakristo hatunaga ubaguzi mungekuwa nyie mungetangaziana kule ndio maana padre ameleta huku sisi hatuna ubaguzi asili yetu n upendo na upoleWakinaa hasan na mohamed ni ruksaa kuombaa
vp mh mcharo ushaanza kuwaita?
Umesema vyema mkuu, mwenye akili atayafanyia kazi kama alikosea. Mtu analalamika ameomba kazi mara nyingi bila kuitwa interview kumbe ameshindwa kuzingatia vitu vidogo lakini vya msingi.Wakuu, nimegundua kwanini wabongo tunapigwa gepu na wakenya kwenye soko la ajira. Hatuko serious.
Watu hatufuati maelekezo kabisa. Wengine wanatuma CV in doc format badala ya PDF.
Wengine wanatuma CV pamoja na ma vyeti ya secondary na vyuo.
Wengine hatujui hata namna ya Professional Communications through email.
Mtu ana attach tu CV yake, anatuma. Title ya email haweki, Greetings haweki, supporting explanations haweki....
Wakuu (hasa mliotoka shule muda si mrefu) tusipuuzie maelekezo katika kuomba kazi. Kitu kidogo tu unakua disqualified.
Nani padrii hapoo mnadanganywaaa kidogooo tuu mnaingiaa kingii wazima wazimaa bullshiiiiitwakristo hatunaga ubaguzi mungekuwa nyie mungetangaziana kule ndio maana padre ameleta huku sisi hatuna ubaguzi asili yetu n upendo na upole
Mkuu ni company gani hiyo.? nataka nije nichukue tender ya kuwatengenezea website & email accounts na software nyinignezo...
Asante mkuu ngoja niziangalie nipige diliMkuu, nimechek na jamaa PM anasema kampuni inaitwa Hexatech T LTD. Emu ingia google hapo.
Kwann hua unajitoa akili mkuu?Kwenye Qualifications umeona kuna kigezo cha Dini mkuu???
Anyway, upande wa Operations mpaka sasa upande wa wazawa kuna waislamu 6, christians 5.