amu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2012
- 16,143
- 31,275
Una gpa ya ngapi?
Pass ya 2 na point nlimaliza nayo ila kazini ni noma kwa kipindi kifupi nimeshauri kampuni ipunguze unnecessary costs nao waliona hilo.
Am proud of it na utendaji wangu wa kazi upo juu
Mwaka mpya na mambo mapya wala sikunegotiate na boss kaona utendaji wangu wa kazi kaniongezea mshahara kwangu mie ilikuwa bonge la surprise.