Graduated in 2011 Looking for a Job

Graduated in 2011 Looking for a Job

Blessed Keinerugaba

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2011
Posts
4,789
Reaction score
4,820
Hello.

Waungwana hali yangu inazidi kuwa ngumu, nimehetimu elimu yangu kwa level ya shahada (B.A Public Administration) kwa muda wote huu nimetafuta kazi bila mafanikio kwenye namna ya kunisaidia tafadhal hata sehemu ya kujishikiza, niko Dar es salaam kwa sasa,natanguliza shukrani.
 
Duh tulia watakuja wajuz wa mambonna connection watakusaidia mkuuu hata usikate tamaaaa,hapa ndo kila kitu kikubwa nnachoweza kukusaidia zidisha maombo ktk iman yako sku yako yaja.......
 
hello!
Waungwana hali yangu inazidi kuwa ngumu,nimehetimu elimu yangu kwa level ya shahada(B.A Public Administration) kwa muda wote huu nimetafuta kaz bila mafanikio kwenye namna ya kunisaidia tafadhal hata sehemu ya kujishikiza,niko Dar es salaam kwa sasa,natanguliza shukrani.

Juzi uhamiaji wametoa nafasi za kazi,nunua mwananchi ya juzi tarehe 14.02.2014!!!! Nakushauri tafuta Godfather uweze ingia walau kwenye written interview zen yatajulikana mbele ya safari mkuu
 
Juzi uhamiaji wametoa nafasi za kazi,nunua mwananchi ya juzi tarehe 14.02.2014!!!! Nakushauri tafuta Godfather uweze ingia walau kwenye written interview zen yatajulikana mbele ya safari mkuu

nashukuru mkuu nitaufanyia kazi ushaur wako!
 
hello!
Waungwana hali yangu inazidi kuwa ngumu,nimehetimu elimu yangu kwa level ya shahada(B.A Public Administration) kwa muda wote huu nimetafuta kaz bila mafanikio kwenye namna ya kunisaidia tafadhal hata sehemu ya kujishikiza,niko Dar es salaam kwa sasa,natanguliza shukrani.

Una gpa ya ngapi?
 
umejarbu kuanza kujitolea kwanza ktk ofs humohumo utapata nafac zngne za kufahamiana na watu
 
Pole sana,usikate tamaa komaa,bt kubali hata kazi zenye maslahi kidogo then utapanda kidogokidogo,rather than staying at home.......!
 
Tupo wengi sana endelea kuwa na hope.

Inabidi kutafuta kitu cha kufanya wkt unasubiria nafasi ya kazi coz itakua ngumu kuelezea gap ya tokea 2011 ktk interview.unawz kufanya mitihani ya profesion km procurement,CPA etc au ujitolee ktk ofc yoyote ile ksbu ukienda ktk intvw na graduates wa mwk huu mwajir ataasume ww hauuziki ndio maana hauajriki tokea 2011!
 
  • Thanks
Reactions: amu
si ameomba msaada wa kusaidiwa sasa kwani mimi nilivyouliza unahisi siwezi kumsaidia?. According to his/her course i can help him/her. Jaribu basi kukua kifikra bwana mdogo.
 
Tembelea mashule ya private unaweza kupata kazi ya kufundisha kwa muda kwani wanaitaji sana walimu......
 
Hello.

Waungwana hali yangu inazidi kuwa ngumu, nimehetimu elimu yangu kwa level ya shahada (B.A Public Administration) kwa muda wote huu nimetafuta kazi bila mafanikio kwenye namna ya kunisaidia tafadhal hata sehemu ya kujishikiza, niko Dar es salaam kwa sasa,natanguliza shukrani.

Hope nafasi za uhamiaji umeziona na umeshatuma maombi kama za TAKUKURu hukuapply
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom