Blessed Keinerugaba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 4,789
- 4,820
Hello.
Waungwana hali yangu inazidi kuwa ngumu, nimehetimu elimu yangu kwa level ya shahada (B.A Public Administration) kwa muda wote huu nimetafuta kazi bila mafanikio kwenye namna ya kunisaidia tafadhal hata sehemu ya kujishikiza, niko Dar es salaam kwa sasa,natanguliza shukrani.
Waungwana hali yangu inazidi kuwa ngumu, nimehetimu elimu yangu kwa level ya shahada (B.A Public Administration) kwa muda wote huu nimetafuta kazi bila mafanikio kwenye namna ya kunisaidia tafadhal hata sehemu ya kujishikiza, niko Dar es salaam kwa sasa,natanguliza shukrani.