Nimetoa maelezo mafupi ili nipate walengwa. Wahusika wataelewa.
Samahani kama nitakukwaza
mkuu fafanua umeniacha chalinze au labda kwa kua sio graduate, ila nna ndg zangu graduates, hy Qs's ndo ........
ubinafsi huo......walengwa ndo kina sisi na hatujaelewa sasa.....kama hutaki futa post yako tuache na grp yetu......maana humu ni kusaidiana sio kupeana mitihani kama unayoleta ww....labda mlengwa ni ndugu yangu nataka nimpe namba ya simu inakuwaje labda