conversant
Member
- Jul 12, 2011
- 60
- 8
wamesema cv and detailskaka does that mean tunatakiwa kutuma CV pamoja na vyeti.? au kwa wale ambao hatukubahatika kuliona hilo gazeti na hatuna namna ya kulipata...tafadhali tusaidie details za muhimu zilizowekwa.
Nashindwa kuspecify kwan nahisi itakula kwangu,nimeoma bcom in management sciences, katika list yao naona chengawamesema cv and details
hawajaspecify details gani mkuu ila posts ni graduate program for work training ni for 24 months area of specialization ni kama alivyozilist mtoa mada mkuu so i tink kwe subject ya e-mail utaaodika Application for graduate program work training in.... Sasa utamalizia kama ni accounting alafu kwenye mainbody jielezee na uombe then attach ur cv na transcripts hayo ni maoni yangu
Nimefungua ukurasa wa kazi katika website ya hii benki umwandikwa hivi "There are currently no positions available". Mleta mada tusaidie hapo.......
1[SUP]st[/SUP] Floor Barclays House,
Ohio Street
P.O. Box 31,
Dar es Salaam
Tanzania
Fax 255 22 2112402
Tel 255 22 2111990
255 22 2119517
255 22 2119302
Nashindwa kuspecify kwan nahisi itakula kwangu,nimeoma bcom in management sciences, katika list yao naona chenga
mkuu hiyo unayosema ni CBA siyo ABC.
Mkubwa unaweza kuomba Business Management, Human Resources nadhani hii itakusaidia.
Samahani mdau...mail zina-fail kwenda kwenye hiyo address (career.abctz@bancabc.com) tajwa hapo juu, kama unaweza tusaidia ku-verify hiyo address mkuu! natanguliza shukrani zangu.
Nipe detail mkuu banc ABC ikojeacha ujuaji, CBA na Banc ABC ni tofauti, jana nilikuwa pale.