Gps car tracker for sale

Gps car tracker for sale

Digitali

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2013
Posts
424
Reaction score
91
Kifaa hiki ni maalum kabisa kwa kuzuia wizi wa gari yako au kufanya monitoring ya gari lako la biashara
Ukiwa na kifaa hiki kimefungwa ndani ya gari lako unaweza kufanya yafuatayo
1. Ku-locate mahali ilipo gari yako kwa kutumia google map kwenye ramani utaona physical features kama magengo na barabara
2. Real time tracking- Utaweza kufuatilia gari yako kama inatembea na kuona kila inapopita kwa wakati, mahali, uelekeo, na mwendo kasi
3.Utapata tracking history itakayo kuonyesha kila mahali gari imepita kwa details kama mda na speed kwa kila mahali husika
4.Kwa kutumia simu yako ya mkononi utaweza kupata link mahali ilipo gari yako na ukifungua hiyo utaweza kama ni smartphone unaenda moja kwa moja kwenye location mahali ilipo gari yako
5. Kifaa hiki kinauwezo wa kunasa sauti na unaweza kusikiliza mazungumzo yanayoendelea kwenye gari hata kama ukiwa mbali kwa kutumia simu yako ya mkononi

Kifaa hiki kimejaribiwa nchini Tz na kinafanya kazi kwa ufanisi mkubwa sana, Okoa gari lako leo kwa kutumia kifaa cha thamani ndogo tu ya Tsh 350,000 Gharama hii ni kwa malipo ya mara moja na hakuna malipo ya kulipia huduma kwa mwezi

Kifaa kinatumia line ya simu gharama pekee ni kuweka vocha kwa ajili ya upload data kwenye google map, kutuma ujumbe wenyue link na kukupigia simu ili usikilize mazungumzo yanayoendelea kwenye gari

Capture ii.JPG Kilimo Capture II.JPG 03052013 To posta snip.JPG Snip preview.JPG 800-1.jpg

Kwa mahitaji yako
Nipigie 0756637966
au PM
au niandikie kwa email dancateman@gmail.com
 
How much does it cost to top up for data usage for a month

it use simply GPRS to upload the tracking records on google map! A small light bundle for a week or a month is more than enough to sail you through! Bila ya kununua bundle kwa mfano sh 2000 tu inaweza kukuwezesha kupata data kwa week 1
 
Je Mwizi akiking'oa kwanza na kuondoka na gari utasaidiaje kwenye uchunguzi wa polisi?
 
Je Mwizi akiking'oa kwanza na kuondoka na gari utasaidiaje kwenye uchunguzi wa polisi?

Kifaa hiki huwa kinaonyesha mahali kilipo kama kipo kwenye gari basi na gari liko hapo! Kitu cha kwanza ukifunga kifaa hiki kwenye gari lako inatakiwa iwe siri yako ukimtangazia kila mtu haina maana tena! Maana hujui mwizi anaweza kuwa mtu wako wa karibu! Akishajua kuna kitu kama hicho kwanza atakushughulikia mpaka umwambie mahali klipo na unaweza kuhatalisha maisha yako!!!

Kama akikitoa na asikizime utakikuta mahali kilipotupwa!
Kikitolewa na kikazimwa utaambulia the last location kilikuwa on!
 
Je Mwizi akiking'oa kwanza na kuondoka na gari utasaidiaje kwenye uchunguzi wa polisi?

Access ya data zote huwa ni exclusively inabaki kwa mteja! Unatakiwa kuweka password yako na username yako! Sidhani kama anayekuuzia atakuwa anahusika kwa namna yeyote
 
Access ya data zote huwa ni exclusively inabaki kwa mteja! Unatakiwa kuweka password yako na username yako! Sidhani kama anayekuuzia atakuwa anahusika kwa namna yeyote

Umenena vema mkuu, ili kuona taarifa mahali lilipo gari lako unalog in kwa password yako
Mimi nikishakuuzia sitakuwa na any access na infor unless unipe username na pass word yako
 
Inaweza kufaa kwenye mikoba ya akina mama, nataka "nimfungie" Mrs. Wangu ili wasinilie!
 
Inaweza kufaa kwenye mikoba ya akina mama, nataka "nimfungie" Mrs. Wangu ili wasinilie!
Bila shaka kinafaa!
Wazee, watoto wa shule .......! Motorcycle wale wanaoibiwa boxer hii kiboko yake
 
Another great products,
I real appreciate kwamba sihitaji kutumia nguvu, just technology
If I can locate my car anywhere it goes by simply log in in my PC or my smartphone what else should wait for
I just got them fixed in my cars and they work like charm
Thanks Again JF, tHANK you Digitali
 
Umeulizwa ni shilling ngapi lakini hujibu. Naona biashara yako kama ya kichina vile
 
Umeulizwa ni shilling ngapi lakini hujibu. Naona biashara yako kama ya kichina vile

Read between lines I even Highlighted in Red kwenye bandiko langu kwenye thread I dont even know umeibukia wapi? u dont have a comment walk away! Biashara za Mchina ndio zimejaaa kariakoo! Call it whatever u want
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom