Jackline Daniel
New Member
- Aug 7, 2016
- 4
- 0
Jamani inakuwaje kama nilimaliza diploma 2015 na nikapata 3.4 Gpa je naweza kuapply chuo ikakubalii
mi nahis unaweza kuapply degree kwasababu tcu inataka wastan wa B+ au 3.5 so unaweza kucalculate mwenyewe kama wastan wako ni wa B+Jamani inakuwaje kama nilimaliza diploma 2015 na nikapata 3.4 Gpa je naweza kuapply chuo ikakubalii
mi nahis unaweza kuapply degree kwasababu tcu inataka wastan wa B+ au 3.5 so unaweza kucalculate mwenyewe kama wastan wako ni wa B+Jamani inakuwaje kama nilimaliza diploma 2015 na nikapata 3.4 Gpa je naweza kuapply chuo ikakubalii
Kama calculation za tcu na chuo chenu zinayofautiana apply kwasabab chuoni kwetu watu wenye 3.1 wameruhusiwa, jaribu kuafilia kakaJamani inakuwaje kama nilimaliza diploma 2015 na nikapata 3.4 Gpa je naweza kuapply chuo ikakubalii
mi nahis unaweza kuapply degree kwasababu tcu inataka wastan wa B+ au 3.5 so unaweza kucalculate mwenyewe kama wastan wako ni wa B+
UKISOMA GUIDE BOOK WAMETAADHARISHA KABISA KAMA UNA GPA CHINI YA 3.5 USIAPLYNgoma 3.5 iyo 3.1 utakua umewàpa zawad tu.
Na hakuna wakumlaum coz taarifa walishatoa mapema.
Kwel c kila mmoja ataish kwa kalam.kalime ww acha uvivu wa kufikri
Hata ungemaliza 1999, ingeleta shida mkuu...Jamani inakuwaje kama nilimaliza diploma 2015 na nikapata 3.4 Gpa je naweza kuapply chuo ikakubalii
Kapotosha nini?acha kupotosha
kapotosha amesema unaweza kuapply degree kwasababu tcu inataka wastan wa B+ au 3.5 so unaweza kucalculate mwenyewe kama wastan wako ni wa B+ sasa huyu mleta uzi amesema ana 3.4 anataka akacalclute GPA kwa kutumia B+Kapotosha nini?
Sawa but alicho sema ni sahihi ni 3.5 au wale wa zaman wastani wa B+kapotosha amesema unaweza kuapply degree kwasababu tcu inataka wastan wa B+ au 3.5 so unaweza kucalculate mwenyewe kama wastan wako ni wa B+ sasa huyu mleta uzi amesema ana 3.4 anataka akacalclute GPA kwa kutumia B+
Hakuna kitu kama hiki. Kama hajalipa zaka basi aka apply na pesa yake itahesabika kama fungu la kumi au matomolo. Bila 3.5 HATAPATA CHUOkapotosha amesema unaweza kuapply degree kwasababu tcu inataka wastan wa B+ au 3.5 so unaweza kucalculate mwenyewe kama wastan wako ni wa B+ sasa huyu mleta uzi amesema ana 3.4 anataka akacalclute GPA kwa kutumia B+