msameeni mtoto wa watu jaameni maana hakutegemea, kifo ni kwa kila binadamu so siku yake imefika na hata huyo mtoto akitoka leo atakua anajuata kwa kusababisha kifo cha kanumba the great, bt for me she is innocent person, kukimbia ni kuepusha shari,tuwe wakweli wanajamii fr.