Google wanataka kunipotezea kusuhu refund

Google wanataka kunipotezea kusuhu refund

Mechanic 97

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2021
Posts
1,041
Reaction score
1,463
Wakuu ni hivi baada yakuona miaka flani niliwahi soma engineering drawing Nikaona si vibaya nikanunua application ya CAD iitwayo Gnacad lakini wakuu tangu tu nilivyo nunua purchase Ili cancelled automatically na wakasema pesa iliyo lipwa itakuwa refunded na status kwenye Google play status imeandikwa refunded lakini pesa sijapokea nime jaribu kufungua messenger Yao hola.

Ni mecomment kwenye post yao wanaonesha kunisaidia lakini hola. Sasa sielewi nifanyaje nipate pesa zangu. Ila wakuu Dunia ngumu sana inajitahidi ufanye hivi hola daah
 
Wakuu ni hivi baada yakuona miaka flani niliwahi soma engineering drawing Nikaona si vibaya nikanunua application ya CAD iitwayo Gnacad lakini wakuu tangu tu nilivyo nunua purchase Ili cancelled automatically na wakasema pesa iliyo lipwa itakuwa refunded na status kwenye Google play status imeandikwa refunded lakini pesa sijapokea nime jaribu kufungua messenger Yao hola.

Ni mecomment kwenye post yao wanaonesha kunisaidia lakini hola. Sasa sielewi nifanyaje nipate pesa zangu. Ila wakuu Dunia ngumu sana inajitahidi ufanye hivi hola daah

Case ya refund via hizi MasterCard na visa sio tatizo la aliye refund ni tatizo la hapa kwetu. Tanzania BOT hawaruhusu kulipwa au kupokea payments via MasterCard au visa au PayPal, hivyo Google wamekulipa lakini mifumo hapa hairuhusu payment kuingia kwenye account yako

Binafsi nimeshapoteza payments nyingi, nimeshindwa kuuza services eBay kwa sababu hiyo.

Labda Mastercard, visa na paypal ndio hawajaruhusu malipo kuja kwa watumia huduma wa Tanzania, lakini bado inabaki kuwa jukumu la BOT kufanya hilo liwezekane.
 
Case ya refund via hizi MasterCard na visa sio tatizo la aliye refund ni tatizo la hapa kwetu. Tanzania BOT hawaruhusu kulipwa au kupikea payments via MasterCard au visa au PayPal, hivyo Google wamekulipa lakini mifumo hapa hairuhusu payment kuingia kwenye account yako

Binafsi nimeahapoteza payments nyingi, nimeshindwa kuuza services eBay kwa sababu hiyo
Anaweza kupokea awasiliane na wahusika kama ni bank au mitandao ya simu.

Kwa case za refunds, pesa hurudi ila haziingii moja kwa moja mpaka uwasiliane nao uwape taarifa za hizo refunds kisha wana release.
 
Anaweza kupokea awasiliane na wahusika kama ni bank au mitandao ya simu.

Kwa case za refunds, pesa hurudi ila haziingii moja kwa moja mpaka uwasiliane nao uwape taarifa za hizo refunds kisha wana release.
Thanks for details. Bado ni weakness za mifumo yetu ya ndani
 
Case ya refund via hizi MasterCard na visa sio tatizo la aliye refund ni tatizo la hapa kwetu. Tanzania BOT hawaruhusu kulipwa au kupikea payments via MasterCard au visa au PayPal, hivyo Google wamekulipa lakini mifumo hapa hairuhusu payment kuingia kwenye account yako

Binafsi nimeahapoteza payments nyingi, nimeshindwa kuuza services eBay kwa sababu hiyo

Labda Mastercard, visa na paypal ndio hawajaruhusu malipo kuja kwa watumia huduma wa Tanzania, lakini bado inabaki kuwa jukumu la BOT kufanya hilo liwezekane
Tanzania ni nchi ngumu sana kuishi. Kuishi Tanzania ni sawa na kuishi kuzimu
 
Anaweza kupokea awasiliane na wahusika kama ni bank au mitandao ya simu.

Kwa case za refunds, pesa hurudi ila haziingii moja kwa moja mpaka uwasiliane nao uwape taarifa za hizo refunds kisha wana release.
Niliwasiliana na payoneer wanadai Google ndio wanahusika
 
Dah pole Sana mimi Kuna app nilidownloa muda kidogo Sasa ikanizalizumu kuidanganya kwamba nilipie baada ya muda wa majaribio baada ya mimi kumaliza kazi nayo sikukumbuka cancel bwana wee si juma pili naamka asubui naona sms ya Airtel money pesa imeenda Google akili ikaruka kuona kiasi nilicholipa nikazama kwenye Gmail naona sms yao wananipongeza kulipia app hio.
Nilichofanya niliomba pesa zirudi na nikasema nimebuy accident juma 4 asubuhi naona mzigo umerudi nilichofanya nilizizitoa nikaenda jipongeza
 
Malipo yangu ya online nafanyia kwa kutumia voda visa na paypal tu..

Wakirefund naipata ..

Amazon walirefund mpaka leo naziangalia tu siwez kutoa labda nitumie
Kufanya manunuz mengine
 
Dah pole Sana mimi Kuna app nilidownloa muda kidogo Sasa ikanizalizumu kuidanganya kwamba nilipie baada ya muda wa majaribio baada ya mimi kumaliza kazi nayo sikukumbuka cancel bwana wee si juma pili naamka asubui naona sms ya Airtel money pesa imeenda Google akili ikaruka kuona kiasi nilicholipa nikazama kwenye Gmail naona sms yao wananipongeza kulipia app hio.
Nilichofanya niliomba pesa zirudi na nikasema nimebuy accident juma 4 asubuhi naona mzigo umerudi nilichofanya nilizizitoa nikaenda jipongeza
hua nikifanya malipo yoyote online kwa virtual card na kumaliza, nafuta card naunda mpya.
 
Back
Top Bottom