Google wamekuja na kitu kipya tena!

Google wamekuja na kitu kipya tena!

Nimeshaijaribu hiyo Chromecast,i like it maana you can watch kila kitu kutoka kwenye cell/laptop/ipad kwenye big screen na installation yake is easy like counting 1 2 3,soon or later nafikiri cable/paid TV zitakula kwake maana internet ina material mengi sana kuangalia kuliko TV za kulipia,ila bongo na internet za kupima sijui itakuwaje?
 
Nimeshaijaribu hiyo Chromecast,i like it maana you can watch kila kitu kutoka kwenye cell/laptop/ipad kwenye big screen na installation yake is easy like counting 1 2 3,soon or later nafikiri cable/paid TV zitakula kwake maana internet ina material mengi sana kuangalia kuliko TV za kulipia,ila bongo na internet za kupima sijui itakuwaje?

umeipata wap mkuu? sh ngap?
 
Nimeshaijaribu hiyo Chromecast,i like it maana you can watch kila kitu kutoka kwenye cell/laptop/ipad kwenye big screen na installation yake is easy like counting 1 2 3,soon or later nafikiri cable/paid TV zitakula kwake maana internet ina material mengi sana kuangalia kuliko TV za kulipia,ila bongo na internet za kupima sijui itakuwaje?
Mkuu labda vile upo Pasadena, nimeskia ipo tayari ebay nadhani tunaweza nunua ila kweli kibongo bongo na net ya kupima sijui itakuwaje!
 
Mi nimefurahi tu kwenye jelly bean 4.3 lugha ya kiswahili ni miongoni mwa local language zilizoongezwa
 
Nimeshaijaribu hiyo Chromecast,i like it maana you can watch kila kitu kutoka kwenye cell/laptop/ipad kwenye big screen na installation yake is easy like counting 1 2 3,soon or later nafikiri cable/paid TV zitakula kwake maana internet ina material mengi sana kuangalia kuliko TV za kulipia,ila bongo na internet za kupima sijui itakuwaje?

So you mean cost implications will be directed towards internet usage, Right?
 
So you mean cost implications will be directed towards internet usage, Right?
Yes sir,it require internet connection,huku nilipo we pay per month and you get unlimited lakini kwa bongo si unanunua kwa mafungu?nafikiri internet cost inaweza kuwa issue ingawaje sina uhakika
 
Yes sir,it require internet connection,huku nilipo we pay per month and you get unlimited lakini kwa bongo si unanunua kwa mafungu?nafikiri internet cost inaweza kuwa issue ingawaje sina uhakika

Dah.
Basi sawaaaaa
 
kumbe mwenzetu uko kwao ndomaana watupa stori za kusadikika
 
Yes sir,it require internet connection,huku nilipo we pay per month and you get unlimited lakini kwa bongo si unanunua kwa mafungu?nafikiri internet cost inaweza kuwa issue ingawaje sina uhakika

In no doubt issue ya Internet za mafungu itakuwa kikwazo kwenye kutumia device kama hii kwa hapa bongo! Kusttem video zina-consume bandwidth kubwa tu, so kama mie niliezoea kununua 1GB yangu kwa wiki sitoboi hii kitu kabisaaa!
 
Back
Top Bottom