Google map Kigoma

Google map Kigoma

simplemind

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2009
Posts
16,694
Reaction score
9,580
Pamoja na ziwa Tanganyika kuwepo jirani na mji wa Kigoma tatizo la maji mjini sugu.
 

Attachments

  • tmp_10629-Screenshot_2015-09-06-08-20-58-1311452503.png
    tmp_10629-Screenshot_2015-09-06-08-20-58-1311452503.png
    91.5 KB · Views: 2,187
Zile billions za safari zingetosha kusambaza maji maeneo yote ya Kigoma na Lukwa. Hatuna vipaumbele.
 
Kikwete aliwaahd wakaz wa kigoma kua kigoma ataigeuza kuwa dubai,vp anaondoka madarakani ametekeleza hilo?
 
mmhhh, maajabu ya ccm kuongea uongon ni jadi yao,sasa hapa kazi tuu manake nini?
 
Hawana jipya na mkoa wetu to change gear ili wajifunze kitu. Vipi mliopo pande hizo mbunge yupi Ana uwezo na kigoma mjini
 
Kwa mujibu wa ramani Masafa kutoka Kati ya mji hadi ziwa Tanganyika haya zidi kilometa 6 hadi 8. Aibu CCM kushidwa kuwapa wakazi wa kigoma maji ya uhakika kipindi cha miaka zaidi ya 50 serekali ya CCM pamoja na kuwepo chanzo hakika cha maji.
 
Pamoja na ziwa Tanganyika kuwepo jirani na mji wa Kigoma tatizo la maji mjini sugu.
Kuna mji Tanzania usio na tatizo la maji. Takwimu zinazotolewa na wanasiasa kuhusu asilimia ya watu wanaopata maji safi mjini na vijijini unishangaza sana.sijui wanzitoa wapi?
 
Magufuli anaweza kwenda na gia kwamba "Nitageuza maji ya Ziwa Tanganyika yawe juice, mnachota tuu na kujinywea! Hapa ni kazi tuu"
Makofi kwa sana kutoka kwa wale wenye sare za kijani na njano.
 
ccm wakuletee maendeleo we nani...??
Maendeleo ni haki ya vigogo wa ccm na familia zao.
Wewe common mwananchi na mimi kwa ccm tunajulikana kama "malofa na wapumbavu"...
Ni ajabu kuwa tunashindwa kuunganisha nguvu dhidi ya "wajanja na matajiri" wa ccm... Wakishatuacha solemba ndo tunalalamikaaaa..!!

#Mabadiliko.....
 
maji za ziwa Tanganyika unaweza kunywa ndoo nzimaa kwa kutwa
 
Kikwete aliwaahd wakaz wa kigoma kua kigoma ataigeuza kuwa dubai,vp anaondoka madarakani ametekeleza hilo?

Unaijua dubai au unaisikia tu? We endelea kuomba Maji, barabara n.k hzo habari za kucompare kigoma na Dubai ni uendawazimu mtupu!
 
Back
Top Bottom