Google imebadili logo yake baada ya miaka 10

Teknolojia ni Yetu sote

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2020
Posts
1,221
Reaction score
2,425



πŸ’­ Kampuni pendwa ulimwenguni Google imefanikiwa kubadilisha logo yake yenye nembo ya G kwa kuweza kuweka muundo mpya kwa kuweka rangi katika muundo wa soft transition style.



πŸ’­ Japokuwa Rangi Bado zitabaki vile vile lakini muundo huu mpya imewekwa inafanana na style ya Rangi ya mtandao wa Instagram.





Unasemaje kuhusu mabadiliko haya !!!!
 

Attachments

  • 4_20250513_194424_0003.png
    384.4 KB · Views: 13
Mimi naionea huruma inavyoenda kuuza chrome kisa maamuzi ya mahakama. imetumia miaka mingi kuifanya iwe web browser yenye watumiaji wengi zaidi leo wanaenda kuiuza kwa lazima... Pia chrome OS
 
Chatgpt kaja kuitia kidole gugo, siku hizi gugo sio ishu tena.

Gugo ukiiuliza swali, inakupeleka kwenye website.

Chatgpt ukiiuliza swali, inakujibu na kisha inakupeleka kwenye website.
Na inakuuliza km umeridhika na majibu 😁
 
hii inamaana kubwa sana , em fikiria vizuri utagundua kitu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…